Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu kuna chaka nipo kama mnavojua najihusisha na mambo ya uvuvi na sehemu niliopo kuna changamoto ya usafiri maana ni porin sasa nilikuwa nahitaji mtu ambaye tunaweza kuingia mkataba...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari! Kalibun kwa huduma za ufundi umeme na solar, tunafany design za taa mbali mbali za umeme. Tv show case na wirring zote kwa ujumla, tunafunga submitter aina zote. Tuna design taa mbali...
0 Reactions
0 Replies
639 Views
MAELEZO JUU YA UTOAJI RISITI KIDIGITALI UKIWA NA MFUMO WA DIRM VFD KWA KUTUMIA SIMU YAKO AU LAPTOP YAKO. DIRM VFD ni Mfumo unaotumia teknolojia ya kisasa inayokuwezesha kutoa risiti halali za EFD...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
ISUZU Bighorn ipo Japan wewe unapaswa kulipia freight 1,000 USD na pesa ya wine 260 USD kwa mmiliki. 3050cc, mileage 239,000 Kms. Year of manufacturing 1996
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Specification ya lenovo Laptop Window 10 pro, Processor core i5, Hard disk, Storage 300GB, Ram 8GB Hali yake ni imara na charger inadumu kwa masaa mengi nicheck 0624000771
2 Reactions
1 Replies
852 Views
Habari wakuu Kutokana na gharama za uandaaji wa mitihani kuwa kubwa katika shule yetu, tumekuja na wazo la kununua vifaa vyetu ili kuokoa gharama Vifaa tunavyo hitaji ni Printer, Photocopy machine...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Nyumba ina vyumba vinne,kimoja master,sitting room,dinning room, jiko,public toilet ndani eneo kuubwa unaweza kufuga. Kodi laki mbili na nusu kwa mwezi,umbali wa dakika 5paka 8 kutoka main road...
1 Reactions
5 Replies
576 Views
Habari wadau wote wa JF, Naomba ushauri wa simu midrange nawaza pata Kwa tsh. 500k. Kwa sasa nimeona xiomi Redmi note 12 (8gb 128gb). Kwa budget hiyo naweza ipata? Na inauzwa Bei Gani mpya...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Kiwanja kipo eneo la Chonga wilalya ya Chake chake Kina ukubwa sqm 850 Kipo mita 30 kutoka barabara kuu *Kiwanja kipo karibu msikiti na hospital ya Chonga Umeme ushafika hauhitaji nguzo...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Nimepata kazi hapa ya kusafisha sink la choo na mwana jf shukrani kwake pia kama unauhitaji wa kusafishiwa sink la kunawia ama la choo lililofubaa ni cheki pm ama piga namba 0783672221 .Karibuni...
6 Reactions
4 Replies
885 Views
Habari Wadau! Naitaji kiwanja Mabwepande Bunju B. Kama uncho njoo na Offer yako. Wasalaam.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Gari nzuri sana. Nauza bei nafuu, namba D. Engine 33.Tairi mpya, inafanya kazi kama daladala. Ipo Kitunda Dar es Salaam. Nipigie uchukue gari nzuri ya biashara: +255 782 425 915
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenye gari dualis number E anichek PM. Pesa ipo mfuko wa shati NB: Madalali wenye tamaa hapana
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kipo kibaha kwa Mathias, Squire meter 400. Kipo msangani juhudi,jirani na stend ya bajaji Bei milioni 3
2 Reactions
12 Replies
1K Views
TECNO POP4. 32 Gb storage, 2Gb RAM. Nipo Arusha, Njiro. Haina tatizo lolote. Bei 95,000. Simu 0768174862
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Habari zenu wakuu? Nahisi kichwa cha uzi kinajitosheleza, japo kwa kuongezea kama wewe ni mmoja kati ya wanaoweza/kumfahamu anayeweza naomba tuwasiliane. Njoo PM chap kwa haraka tufanye biashara.
2 Reactions
18 Replies
965 Views
Habarini waungwana! Ni hp intel laptop RAM ni 8GB HDD ni 500GB CPU ni @2.4GHz 3 USB ports Ethernet port Wifi Adapter ipo Battery ni 30 min Kioo kina mistari miwili Bei ni 280K TZS tu! Karibuni...
1 Reactions
0 Replies
487 Views
Hbr Wtz wenzangu, kama title inavyojieleza ninauza used Dg kuanzia kva 15 na kuendele na spears pia zipo mawasiliano ni 0710881879.
0 Reactions
2 Replies
612 Views
Wanandugu mwenye Manila ngumu naweza kumpata ?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…