Wakuu kuna chaka nipo kama mnavojua najihusisha na mambo ya uvuvi na sehemu niliopo kuna changamoto ya usafiri maana ni porin sasa nilikuwa nahitaji mtu ambaye tunaweza kuingia mkataba...
Habari!
Kalibun kwa huduma za ufundi umeme na solar, tunafany design za taa mbali mbali za umeme. Tv show case na wirring zote kwa ujumla, tunafunga submitter aina zote. Tuna design taa mbali...
MAELEZO JUU YA UTOAJI RISITI KIDIGITALI UKIWA NA MFUMO WA DIRM VFD KWA KUTUMIA SIMU YAKO AU LAPTOP YAKO.
DIRM VFD ni Mfumo unaotumia teknolojia ya kisasa inayokuwezesha kutoa risiti halali za
EFD...
ISUZU Bighorn ipo Japan wewe unapaswa kulipia freight 1,000 USD na pesa ya wine 260 USD kwa mmiliki. 3050cc, mileage 239,000 Kms.
Year of manufacturing 1996
Specification ya lenovo Laptop
Window 10 pro,
Processor core i5,
Hard disk,
Storage 300GB,
Ram 8GB
Hali yake ni imara na charger inadumu kwa masaa mengi nicheck 0624000771
Habari wakuu
Kutokana na gharama za uandaaji wa mitihani kuwa kubwa katika shule yetu, tumekuja na wazo la kununua vifaa vyetu ili kuokoa gharama
Vifaa tunavyo hitaji ni Printer, Photocopy machine...
Nyumba ina vyumba vinne,kimoja master,sitting room,dinning room, jiko,public toilet ndani eneo kuubwa unaweza kufuga.
Kodi laki mbili na nusu kwa mwezi,umbali wa dakika 5paka 8 kutoka main road...
Habari wadau wote wa JF,
Naomba ushauri wa simu midrange nawaza pata Kwa tsh. 500k.
Kwa sasa nimeona xiomi Redmi note 12 (8gb 128gb). Kwa budget hiyo naweza ipata? Na inauzwa Bei Gani mpya...
Kiwanja kipo eneo la Chonga wilalya ya Chake chake
Kina ukubwa sqm 850
Kipo mita 30 kutoka barabara kuu
*Kiwanja kipo karibu msikiti na hospital ya Chonga
Umeme ushafika hauhitaji nguzo...
Nimepata kazi hapa ya kusafisha sink la choo na mwana jf shukrani kwake pia kama unauhitaji wa kusafishiwa sink la kunawia ama la choo lililofubaa ni cheki pm ama piga namba 0783672221 .Karibuni...
Gari nzuri sana.
Nauza bei nafuu, namba D. Engine 33.Tairi mpya, inafanya kazi kama daladala.
Ipo Kitunda Dar es Salaam.
Nipigie uchukue gari nzuri ya biashara: +255 782 425 915
Habari zenu wakuu?
Nahisi kichwa cha uzi kinajitosheleza, japo kwa kuongezea kama wewe ni mmoja kati ya wanaoweza/kumfahamu anayeweza naomba tuwasiliane.
Njoo PM chap kwa haraka tufanye biashara.
Habarini waungwana!
Ni hp intel laptop
RAM ni 8GB
HDD ni 500GB
CPU ni @2.4GHz
3 USB ports
Ethernet port
Wifi
Adapter ipo
Battery ni 30 min
Kioo kina mistari miwili
Bei ni 280K TZS tu!
Karibuni...