Biashara ya Subwoofer

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,607
O1CN01N0In7A23ZFfleFMFY_!!2577257269-0-cib (1).jpg


Bei Ya China Bila Usafiri 60000 kila box (Sabufa Kubwa)
Makadirio Usafiri na tozo za serikali kwa meli 40000 kwa box (Unalipia baada ya mzigo kufika bongo)
Makadirio Muda wa usafiri siku 30-45
Kima cha chini kuagiza (Moq) 20
Gharama zangu ikiwa utahitaji nikuagizie ni 5000 kila box
*****************************************************************
Gharama kiujumla
Bei ya box 60000+Usafiri 40000+Mimi 5000=105000
105000x20=2,100,000 Gharama Kiujumla
Unaweza kulipa kwa hatua tatu
1.Bei 60000x20=1,200,000 hapa tunanunua na kuanza usafiri
2.Usafiri 40000x20=800,000 unalipia baada ya mzigo kufika (siku 30-45 tangu siku ya manunuzi)
3.Gharama zangu 5000x20=100,000 unalipia baada ya kupokea mzigo wako
******************************************************************************
Biashara Hii Bongo
Bei Kwa Jumla (box 5) kila box 125,000-130,000
Bei rejareja (box 1) 150,000-170,000
********************************************************************
Karibuni Nitaendelea kupost bidhaa zaidi kulingana na muitikio wenu
Salim Mhina
0713055107
Morogoro Mjini
 
View attachment 2737846

Bei Ya China Bila Usafiri 60000 kila box (Sabufa Kubwa)
Makadirio Usafiri kwa meli 40000 kwa box (Unalipia baada ya mzigo kufika bongo)
Makadirio Muda wa usafiri siku 30-45
Kima cha chini kuagiza (Moq) 20
Gharama zangu ikiwa utahitaji nikuagizie ni 5000 kila box
*****************************************************************
Gharama kiujumla
Bei ya box 60000+Usafiri 40000+Mimi 5000=105000
105000x20=2,100,000 Gharama Kiujumla
Unaweza kulipa kwa hatua tatu
1.Bei 60000x20=1,200,000 hapa tunanunua na kuanza usafiri
2.Usafiri 40000x20=800,000 unalipia baada ya mzigo kufika (siku 30-45 tangu siku ya manunuzi)
3.Gharama zangu 5000x20=100,000 unalipia baada ya kupokea mzigo wako
******************************************************************************
Biashara Hii Bongo
Bei Kwa Jumla (box 5) kila box 125,000-130,000
Bei rejareja (box 1) 150,000-170,000
********************************************************************
Karibuni Nitaendelea kupost bidhaa zaidi kulingana na muitikio wenu
Salim Mhina
0713055107
Morogoro Mjini
Sijaona sehemu ya wazee wa TRA hapo.
 
Tatizo la watu wenye ngozi nyeusi ni kukosa uaminifu hata katika vitu vidogo. Na ndiyo maana tutaendelea kudharauliwa milele.

Lengo la mtoa mada ni zuri kweli. Ila wadau wengi hatuna imani. Nb; ila sikatai. Bado kuna ngozi nyeusi wachache ambao ni waaminifu.
 
Mtanzania hata umwambie kila kitu na umshike mkono umpeleke bado atajisemea umemset, kwa mizigo midogo ambayo n chin ya USD 2k Mara nyingi transporter hujumlishia gharama za Kodi na usafiri pamoja.

Watanzania Biashara zao Mama ntilie, akijibadili sana boda boda au bajaji rejea mada za humu jf kwa watu wenye mitaji wanaotafuta wazi la biashara
 
Mtanzania hata umwambie kila kitu na umshike mkono umpeleke bado atajisemea umemset, kwa mizigo midogo ambayo n chin ya USD 2k Mara nyingi transporter hujumlishia gharama za Kodi na usafiri pamoja.

Watanzania Biashara zao Mama ntilie, akijibadili sana boda boda au bajaji rejea mada za humu jf kwa watu wenye mitaji wanaotafuta wazi la biashara
wewe ungempa hela zako akuagizie mzigo???

kwanini asitoe step za watu kuagiza au connection ya makampuni??
na yeye kaja humu kama dalali na wewe mpuuzi mwingine unajifanya unajua
 
Tatizo la watu wenye ngozi nyeusi ni kukosa uaminifu hata katika vitu vidogo. Na ndiyo maana tutaendelea kudharauliwa milele.

Lengo la mtoa mada ni zuri kweli. Ila wadau wengi hatuna imani. Nb; ila sikatai. Bado kuna ngozi nyeusi wachache ambao ni waaminifu.
mpe hela zako ndo utupe mrejesho wa uamnifu,, pengine wewe ndo sio mtu mweusi
 
Tunalipia kwa njia gani? Na vipi kama nataka kuagiza zaidi ya box 100, hakuna discount?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom