Mineral Consultant Firm

Mineral Consultant Firm

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,099
Reaction score
438
Habari,

Tumeanzisha kampuni ya Consultant katika mambo ya Dhahabu na Copper.Hii kampuni itakua inajihusisha na processing
of Gold and Copper mfano Ore yako ina dhahabu na copper na nia yako ni kupata dhahabu tuu then tutakusaidia na Gharama zetu ni nafuu sana na inahusisha watu Engineers waliokaa katika sekta ya Gold and Copper processing zaidi ya miaka 2.

Karibuni

Mawasiliano 0785804838
 
Back
Top Bottom