Hello
Office ya kupangisha kwa ajili ya shughuli za kampuni inahitajika. Ofisi inatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo
-ukubwa usiopungua 10m^2
-iwe maeneo Dar es salaam, ila kwa ufasaha zaidi...
Hello jf users,
I'm selling a complete Nissan Patrol Engine TD42 or its components.
If you need a complete one it will need yo to overhauling other wise i can sell some its components...
Jamani naomba kwa anayejua bei za cartridges zilizo kwenye demands na namba zake anipe ili nijue kama nawezaifanya biz hii...ntaringanisha na bei ya huku ikiwa poa ntaanza...pia wino wa ku refill...
General Motors said Thursday it will hire about 1,000 high-skilled IT workers at a new $26 million technology development center in metro Atlanta.
The operation, which will be in a sprawling...
Waduu heshima kwenu. Natambua uwepo wenu!
Ninaomba niwataarifu kuwa kuna eneo linauzwa pale Bigwa morogoro. Eneo hili ni heka kasoro kidogo. Bei yake ni sh m 12. Eneo liko kwenye view nzuri. Lipo...
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo:
Banana, Majumba sita, Karakata.
Sifa za hiyo nyumba;
1. Nyumba iwe inafikika kwa gari.
2. Isiwe na LUKU ya kuchangia
3. Iwe...
Am ally riyami from udsm nauza simu aina mbalimbali ila ni second hand from s.africa na canada,nina black berry bold 9700,9900,sonny erickson experior hark,sumsung galax s3,d.camera...
kati ya Noah,serena voxy na honda step wgn ni gari ipi nzuri zaidi ukizingatia vipengelea vifuatavyo\
-Fuel consumption
-Upatikanaji wa spear
-Comfortability
-Repair and Maintanance
Nahitaji watu wanao nunua used electronics kwa jumla
LCD tv 32 inch ,Plasma tv , CRT tv , music system ,fridge ! Home theaters , DVD players ! Computer ,computer accessories !
Jamani mwenzenu ndo nimeanzamaisha nimepata kamkopo naombeni mnisaidie wapi ntapata kagari ka Sh milioni sita tu! Gar yoyote lakini iwe imeingizwa toka Japan siku si nyingi, asanteni
1.Ipo kwenye hali nzuri sana2.Ina CC 1496 na hivyo ni nafuu kuigharamia mafuta 3.Mileage 95,000km4.Bado haijatumika kabisa hapa Tanzania na inamvuto wa kutosha5.Ni model mpya kwa huku kwetu...