Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,051
- 13,705
Nauza gari langu mwenyewe kwa Tsh milioni 9.8!! Karibu pm kuweka picha sijui
Sijui kiongozi kama unataka gari njoo inbox gari hiko Bukoba mjini Kashai na siuzii njaa, nataka niwabariki wadogo zangu nao watembee wakiwa wamekaaeka picha boss wangu
sasa apo ndo umebugi kwani nani amesema unauzia njaa?Sijui kiongozi kama unataka gari njoo inbox gari hiko Bukoba mjini Kashai na siuzii njaa, nataka niwabariki wadogo zangu nao watembee wakiwa wamekaa
Naam ndivyo biashara za Kihaya zilivyo, yaani unauza lakini hakuna kubembeleza mteja🤣🤣🤣🤣Sijui kiongozi kama unataka gari njoo inbox gari hiko Bukoba mjini Kashai na siuzii njaa, nataka niwabariki wadogo zangu nao watembee wakiwa wamekaa
Hii ndio bei. Na sisi hatuna njaa ya magari kama hataki apite kuleeMil 2.5 ipo mkuu
Atamjia inbox😅Hii ndio bei. Na sisi hatuna njaa ya magari kama hataki apite kulee
Hii ndio bei. Na sisi hatuna njaa ya magari kama hataki apite kulee
hahahahahaaa... aweke hata picha tuone hilo brevenga la milioni kumi kasoro linafananaje.Hii ndio bei. Na sisi hatuna njaa ya magari kama hataki apite kulee
oya! Ilo neno "Njaa" linaharibu biashara.Sijui kiongozi kama unataka gari njoo inbox gari hiko Bukoba mjini Kashai na siuzii njaa, nataka niwabariki wadogo zangu nao watembee wakiwa wamekaa
nakazia hapaoya! Ilo neno "Njaa" linaharibu biashara.
Basi shibe mkuu leta hela bhanaoya! Ilo neno "Njaa" linaharibu biashara.
Kilometa mbili linatumia lita ngapi mkuu?Nauza gari langu mwenyewe kwa Tsh milioni 9.8!! Karibu pm kuweka picha sijui
Utafika tatu nukta mbili.Subiri uone!Gari bado lipo!! Bei imepoa kidogo, milioni 8 baada ya kuona watu wengi wanataka gari lakini tatizo ni hela