Chumba master kinapangishwa

Chumba master kinapangishwa

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Chumba kina choo pamoja na sitting room , kipo ndani ya gate gari inaingia luku mnatumia familia 2 . kipo maeneo ya Fao hapa kinondoni , kodi laki 140,000 unaweza lipa hata miezi 6. mimi ni dalali 0657145555
 
Fao ndio maeneo ya karibu na kinondoni studio au???

fao ni kituo cha msaada kama unatokea moroco pale kwa burger kuelekea mwenge,au ni kituo kabla haujafika victoria unapotokea moroco
 
Maisha ya DSM bwana..daahh..chumba kimoja na sitting room 140,000/=yaani huku kwetu Mafinga/Njombe unapata Nyumba nzima chini ya bei hiyo..kweli kuishi mjin ni form six..!!
 
huko njombe nilisha ishi chumba 6000 safi kabisa umeme maji muda wote,maisha ya town huwezi fananisha na mkoa mkuu
 
huko njombe nilisha ishi chumba 6000 safi kabisa umeme maji muda wote,maisha ya town huwezi fananisha na mkoa mkuu
Sure 100%..!!halafu kuna hali ya hewa nzuri sn..the promise land Njombe!!daaahh!
 
Back
Top Bottom