asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
wadau kwa anayefahamu utaratibu wa kupata viti ,meza na friji kutoka kwenye makampuni ya soda(pepsi & cocacola) na bia kwaajili ya Bar ,naomba anifahamishe.
Nenda kwa mawakala wa hayo makampuni!! Wakikuzungusha nenda ofsi zao zilipo!ukifika we waambie nahitaji hiki na hiki! Watakuomba namba yako ya simu! Hivyo wao wataagiza mawakala wao wakuletee