Bima bima bima.......pata bima ya gari zako

Bima bima bima.......pata bima ya gari zako

starson

Member
Joined
Jul 29, 2012
Posts
7
Reaction score
0
habarin za kazi watanzania wenzangu mim ni mtanzania mwenzenu ninae tafuta maendeleo nina shughulika na shughuli za bima kwa lugha nyingine ni insuarence agent bima zitolewazo no
.bima za magari
.bima za moto
.bima za maduka na nyumba
.bima za mizigo na kadhalika
watanzania tuungane mikono...
ofisi ipo msasani msikitini karibu na benk ya nmb.....
jina ni milembe insuarence agents
.viwango vya bima za magari ni;
private cars;5% maelewano yapo
commecial cars;7% maelewano yapo
kwa mawasiliano zaidi piga simu namba;0658376119 huna haja ya kufika ofisin ukitaka tutakufwata ofisn kwako tupo kwa ajili yako
MILEMBE INSUARENCE AGENT...0658 376 119
karibuni sana......
 
habarin za kazi watanzania wenzangu mim ni mtanzania mwenzenu ninae tafuta maendeleo nina shughulika na shughuli za bima kwa lugha nyingine ni insuarence agent bima zitolewazo no
.bima za magari
.bima za moto
.bima za maduka na nyumba
.bima za mizigo na kadhalika
watanzania tuungane mikono...
ofisi ipo msasani msikitini karibu na benk ya nmb.....
jina ni milembe insuarence agents
.viwango vya bima za magari ni;
private cars;5% maelewano yapo
commecial cars;7% maelewano yapo
kwa mawasiliano zaidi piga simu namba;0658376119 huna haja ya kufika ofisin ukitaka tutakufwata ofisn kwako tupo kwa ajili yako
MILEMBE INSUARENCE AGENT...0658 376 119
karibuni sana......
Hizi 5% na 7% ni percentages za nini mkuu? ...........value ya gari au ya cc za gari au nini?
 
Hapa umeniacha hoi kwa kweli MILEMBE INSUARENCE AGENT
 
Hapa umeniacha hoi kwa kweli MILEMBE INSUARENCE AGENT

Na mimi nimepata picha kama uliyoipata. Japokuwa ni jina kama majina mengine lakini kwa wakati tulio nao jina linaweza kuifanya biashara ikose soko. Sijui atafanyaje maana amesharejista!
 
Na mimi nimepata picha kama uliyoipata. Japokuwa ni jina kama majina mengine lakini kwa wakati tulio nao jina linaweza kuifanya biashara ikose soko. Sijui atafanyaje maana amesharejista!

Sijui alifikiria nini kutumia hilo jina la milembe hahaha
 
Back
Top Bottom