viwanja vya bei cheee kabisa....mbezi msakuzi

viwanja vya bei cheee kabisa....mbezi msakuzi

mpendaMaendeleo

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
279
Reaction score
35
vina ukubwa kuanzia mita 20*20 bei milion 2 na kuendelea...
miundombinu ya barabara ipo..
wahi sasa kabla huja chelewa.
(kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577)
 
mbezi msakuzi unaingia mkono wa kulia ukitokea mjini unaingilia mbezi mwisho
dala dala zipo zimeandikwa mbezi msakuzi.
 
Hizo barabara ndio nataka nishangae. Anyway let me shut my mouth.
 
Umezoea madrasa mnasoma kutoka kulia kwenda kushoto, au?

Rudia kusoma heading
asante kwa ukumbusho japo unadharau, ingetoshatu kwako kuniambia nisome tena kichwa cha habar, kuliko kuingiza maneno ambayo hayaengi lolote
 
vina ukubwa kuanzia mita 20*20 bei milion 2 na kuendelea...
miundombinu ya barabara ipo..
wahi sasa kabla huja chelewa.
(kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577)
kiongozi mie natafuta eneo tegeta A goba naweza kupata?
 
Natafuta eneo Surveyed Area Kibada/Bunju/Mbweni. Ukubwa Square Meter 1200 na Kuendelea. Budget 5M.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom