Nachora ramani za nyumba kwa bei nafuu sana

Nachora ramani za nyumba kwa bei nafuu sana

rasdavy

Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
84
Reaction score
14
Mimi ni mtaalam na mzoefu kwenye fani ya ubunifu majengo. Natayarisha michoro yote na kuandaa propasal na ushauri wa ujenzi. Pia utapata na 3d view ya jinsi nyumba yako itakavyokuwa. Hii ni kwa kutumia technolojia ya kisasa ya ubunifu majengo. Nyote mnakaribishwa.
Mawasiliano 0714155854
 
Mimi ni mtaalam na mzoefu kwenye fani ya ubunifu majengo. Natayarisha michoro yote na kuandaa propasal na ushauri wa ujenzi. Pia utapata na 3d view ya jinsi nyumba yako itakavyokuwa. Hii ni kwa kutumia technolojia ya kisasa ya ubunifu majengo. Nyote mnakaribishwa.
Mawasiliano 0714155854
Mkuu kuna ramani ya nyumba(ghorofa moja) nimeipenda,vp can u clearly draw it from a distance cuz ipo within fence na view yake ground floor haionekani freshi ila the upper part is clearly seen..?,upo dar?
 
Mimi ni mtaalam na mzoefu kwenye fani ya ubunifu majengo. Natayarisha michoro yote na kuandaa propasal na ushauri wa ujenzi. Pia utapata na 3d view ya jinsi nyumba yako itakavyokuwa. Hii ni kwa kutumia technolojia ya kisasa ya ubunifu majengo. Nyote mnakaribishwa.
Mawasiliano 0714155854

AQRB wanaruhusu matangazo ya aina hii? Au mwenzetu hauko registered.
 
Back
Top Bottom