Laki si Pesa!Nina laki
acha kunipeperushia ndege wangulaki si pesa!
Laki si Pesa!
Nina laki
Kanga MokoLaki si Pesa!
nakushukuru sana mkuuLol Samsoni si tulisema,but pole,pia umeonyesha uungwana kwa kuomba msamaha kwa lugha uliyotumia mwanzo,unapouza kitu kwa matangazo inabidi utumie lugha ya ungwana na ya kawaida,naona ushajifunza,nakuombea uuze hiyo tablet,kwani mtu kimfaacho chake
ni toshiba AT100 BEI NI 300K ILA KUNA MAELEWANO JAMANI
GB 16
SUPORT WIFI KAMA UNA ROUTER PIA INASUPORT
INA CAMERA
USB-FLASH UNAINGIZA NA KUCHEK MUV
MEMORY CARD PLACE
****WAHI HARAKA NINA SHIDA NA SHEKELI JAMANI,WE NI PM TU TUELEWANE***
Kanga Moko
Ndembe ndembe
huyo ndo yule wa siku ile alikuja kwa mkwara? Tumpe elfu 20 apumzikelol samsoni si tulisema,but pole,pia umeonyesha uungwana kwa kuomba msamaha kwa lugha uliyotumia mwanzo,unapouza kitu kwa matangazo inabidi utumie lugha ya ungwana na ya kawaida,naona ushajifunza,nakuombea uuze hiyo tablet,kwani mtu kimfaacho chake
hapo hata mimi nakuunga mkono,asavali uiweke tu kuna siku mtu atahitaji,sio sababu eti una shida mtu apate kiubwete,hiyo bei uliyosema ni poa zaidi ya hapo ni maumivukwa laki jaman sitauza waugwana wangu.
Inasuport wifi na ukiwa na roter mambo safi
KARIBUNI WATEJA.