steven13
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 319
- 162
Hii bahati sio ya kuiacha. Hatimae baada ya kukwama kifedha nimeamua kutangaza nauza viwanja vyangu, nina eneo lina ekari nne(4), nauza kwa eka! Bei ya ekari moja ni milioni 6 tu!
Eneo lipo maeneo karibu na machinjioni (Nkuhungu kwa mbele kidogo) wanaoijua Dodoma vizuri watakuwa wamenielewa. Kwa wasioijua, eneo lipo Dodoma Mjini umbali wa kama km 10 kutoka town centre. Ni eneo zuri sana, liko mkabala na barabara ya kuelekea Singida. Unaweza ni PM, na kwa mawasiliano zaidi here are my contacts;
Tel: 0767833496
Email: stevenmasaka@gmail.com
Eneo lipo maeneo karibu na machinjioni (Nkuhungu kwa mbele kidogo) wanaoijua Dodoma vizuri watakuwa wamenielewa. Kwa wasioijua, eneo lipo Dodoma Mjini umbali wa kama km 10 kutoka town centre. Ni eneo zuri sana, liko mkabala na barabara ya kuelekea Singida. Unaweza ni PM, na kwa mawasiliano zaidi here are my contacts;
Tel: 0767833496
Email: stevenmasaka@gmail.com