Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,497
- 5,533
Habari za wakati huu;
Kutokana na dharura hili eneo lipo Sokoni. Eneo Lipo Boma Ng'ombe kwa Wasomali Eneo lina Boma kama linavyoonekana pichani lenye vyumba 3 sebule Jiko na Dining. Pia kuna boma dogo la vyumba viwili na sebule lipo jirani.
Nyumba ziko kwenye eneo la ukubwa wa 23 kwa 17 Meters
Kwa wale ambao huwa wameleta concerns kuhusu BEI basi Starting Price ni 26 Milion Tanzania Shilling Negotiable
Kwa wasiofahamu Eneo la Wasomali lipo Mpakani wa Wilaya za Hai na Siha Mkoani Kilimanjaro
Size ya eneo ni 17 by 23m
Bei ni Maelewano.Tunaweza kuwasiliana kwa simu 0710323060 kama unahitaji maelezo zaidi.
Eneo limechangamka na umeme na maji yapo jirani. IT IS MUST GO DEAL so ni ya kuchangamkia.
Kutokana na dharura hili eneo lipo Sokoni. Eneo Lipo Boma Ng'ombe kwa Wasomali Eneo lina Boma kama linavyoonekana pichani lenye vyumba 3 sebule Jiko na Dining. Pia kuna boma dogo la vyumba viwili na sebule lipo jirani.
Nyumba ziko kwenye eneo la ukubwa wa 23 kwa 17 Meters
Kwa wale ambao huwa wameleta concerns kuhusu BEI basi Starting Price ni 26 Milion Tanzania Shilling Negotiable
Kwa wasiofahamu Eneo la Wasomali lipo Mpakani wa Wilaya za Hai na Siha Mkoani Kilimanjaro
Size ya eneo ni 17 by 23m
Bei ni Maelewano.Tunaweza kuwasiliana kwa simu 0710323060 kama unahitaji maelezo zaidi.
Eneo limechangamka na umeme na maji yapo jirani. IT IS MUST GO DEAL so ni ya kuchangamkia.