Galaxy S3 ndani ya box ipo sokoni!

Galaxy S3 ndani ya box ipo sokoni!

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,830
Wadau kama kichwa cha habari kinavyo someka hapo, kitu kipo mkononi na tena ndani ya box.

Bei Tshs. 700,000.

Lakini kwa wenye uhitaji wa galaxy S used ipo kwa Tshs. 300,000.
 
Weka mapicha pia sema umeitoa wapi na kwa nini unaiuza?

Sawa afande,

Picha sidhani kama ina ulazima kwani ipo kwenye box, this means ni mpya.

Kuhusu kwanini nauza, mimi ni mfanyabiashara na sio mgeni humu, bidhaa nyingi nimeshauza bila kupokea malalamiko yoyote yale.

Kwa yeyote ambae yupo interested, ani-PM.
 
Back
Top Bottom