Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

jamani wapi naweza kupata housing ya n9 au kama kuna mtu anaya simu kama hyo ambayo ni mbovu hana mpango wa kuiteneneza au haitengenezeki tuwelewane aniuzie housing 0683808361
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Jamani natafuta chumba cha kupanga SINZA C karibu na The law school of Tanzania kodi isizidi laki moja kwa mwezi na nataka ya miezi sita
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba nzima ya kupanga inatafutwa. MAENEO: maeneo yoyote ya Temeke, Dar es salaam, ama nje kidogo ya wilaya ya Temeke. SIFA: Iwe ina choo cha ndani, iwe na marumaru ndani ya nyumba nzima...
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Wanajanvi naombeni msaada kwenu nina madini aina ya kasheshe lakin sijui soko nitapata wapi wanunuzi wa madini ya Aina hii hivyo naleta kwenu wanajamvi plz... plz.... nisaidieni waweza nicheki kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu wana jf ninahitaji container kama yale ya kubebea mizigo bandarini lenye urefu wa ft 20. liwe linapatikana katika mkoa wa Dar es Salaam ili kurahisisha usafiri. Bandarini yanauzwa lkn bei...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
PRADO TX IN GOOD CONDITION Model: 1997 Millage: 117,000km Cc 3000 Engine 1KZ Diesel, Color: Green 2 tone Transmission: AT 5 doors, 8 passengers, AC, PS, PW, AL, ABS. Price: Tshs 19m/-...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii forum,natafuta CONTAINER kama yale ya kubebea mizigo bandarini lenye urefu wa ft 20. Container liwe maeneo ya Dar es Salaam. Bandarini yanauzwa lakini bei kidogo iko juu! Kama...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Wakuu habari, Nataka nianze ujasiriamali, na ningependa kuuza nguo za mitumba za watoto. Sasa shida sijui mabel ya mitumba yanauzwa wapi dar/kariakoo na ningependa kuuza nguo first quality sio...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi. Ninashida ya kuelewa au kujua kama kuna promotion yoyote inayotolewa na kampuni ya simu ya nokia kama nilivyoiainisha hapo juu kwani nimetokea kupokea msg kwa mobile namba...
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Natafuta unga mzuri wa muhogo .. Ambaye anao naomba tuwasiliane .. Unga uwe mzuri..0714 925 525
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi All, Please I need first-hand info on this oil and gas courses in Diploma or advance Diploma level in the UK, US, Norway, or elsewhere . My Daughter wants to build a career in the oil...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nahitaji mashine hiyo hapo juu mwenye kuwa nayo anijulishe pls
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Brand new laptop specification; -intel atom inside 1.8GHz -4gb RAM -500gb HDD -Webcam,wifi,dvdrw -Window 7 professional PRICE 495,000 Call---0759149202
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Awe anaishi dar- kigamboni preffered awe na cheti ni pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa, kipo eneo la Mwangaza-Dodoma kina ukubwa wa 3081 sqm, terms 33yrs, bei ni Tshs 8,000,000/= (kwa mawasiliano nipigie kwenye namba 0784-715619 au 0754-548430 au 0719-676614)
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama tangazo linavyo someka hapo juu ni modem za kampuni ya HUAWEI NA ZTE ZITAKUWA ZINATUMIA LINE YOYOTE Na sio zile za HSDPA ambazo baada ya siku uacha kusoma kwenye computer Pia kuna nyingine...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
MILAGE 58000 CC 1660 2002 YEAR COLOUR BLUE IMELIPIWA INSURANCE NA MOTOR VEHICLE BRANDNEW TOYOTA ALTEZZA BEI NI 11,000,000Air Conditioning, Airbags, Alloy Wheels, AM/FM Radio, Anti-Lock Brakes...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakuu nataka kuagiza volkswgen polo ag....naipenda inavyoonekana vipi spare zake hasa upatikanaji wake na garama zake....!ni muhimu sana kupata ushauri wenu maake soon naiagiza hii gari!
0 Reactions
9 Replies
5K Views
nauza ram 2 za kompyuta kila moja ina 256mb(used - tshs 5,000 kwa zote mbili), pia nauza lg cd-writer white (used - tshs 10,000), pia nauza motherboard pentium 2 'mercury' nzima ina power kwa tshs...
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Zote ni nyeupe pe! Zimetumika kidogo sana na kwa matunzo mazuri Note II-800,000 Xperia Z 750,000 Available in Dar es salaam Interested buyers kindly PM with your offer!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom