Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, sehemu ya kulia chakula na jiko. Ina master bedroom 1, chumba kingine ni self contained, kinachobakia hakina choo na bafu. Pia kuna choo na bafu kwa ajili ya huyo mwenye chumba kichona choo na bafu. Nyumba imejengwa katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 1200. Kina hati miliki. Maeneo yote karibu na hiyo nyumba yamepimwa na barabara zake zimepangiliwa. Bei 230mil. Mawasiliano 0755312233. email:info@kitomai.com