Nyumba inauzwa Mbezi Beach

Kitomai

JF-Expert Member
May 21, 2009
1,060
281
Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, dinning na sebure. Imejengwa katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 850. Ina hati miliki. Bei 210mil. ukihitaji kuinunua tuwasiliane kupitia hii namba 0717114409 au tuwasiliane kupitia email hii info@kitomai.com Asante na karibu.
attachment.php
 

Attachments

  • DSCN1886.JPG
    DSCN1886.JPG
    30.7 KB · Views: 594
  • DSCN1871.JPG
    DSCN1871.JPG
    40.9 KB · Views: 149
  • DSCN1872.JPG
    DSCN1872.JPG
    46.4 KB · Views: 151
  • DSCN1873.JPG
    DSCN1873.JPG
    25 KB · Views: 129
  • DSCN1875.JPG
    DSCN1875.JPG
    22.3 KB · Views: 134
  • DSCN1876.JPG
    DSCN1876.JPG
    27.2 KB · Views: 131
  • DSCN1877.JPG
    DSCN1877.JPG
    20.4 KB · Views: 131
  • DSCN1878.JPG
    DSCN1878.JPG
    16.6 KB · Views: 126
  • DSCN1879.JPG
    DSCN1879.JPG
    30.1 KB · Views: 126
Jamani mimi ni kijana mjasiliamali hasa najihusisha na utengenezaji wa batik aina zote kama vile, tie&die pamoja na batik print zenye viwango vya juu.Tafadhali naomba support kwa kunipa oda 0717539573 au stanslausd@yahoo.com kwa Dar utaletewa ulipo mikoani ntakutumia kwa njia ya mabasi.
 
Hivi ni kweli pesa yetu imekosa thamani kiasi hicho? Hivi m210 wewe unaeuza hiyo nyumba unaijua?au dalali tu?
 
Naomba title ubadilishe, maana hiyo 'nyumba' haijakamilika na kweli 210m is very high, unless ni kiwanja mnauza.
 
Kwa hela hiyo naweza kujenga tatu kama hizo zikafikia hadi mwisho !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom