Majuto Ngozi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 211
- 50
Shamba lina ukubwa wa hekari 12 lina minazi, michungwa, mikorosho na nyumba ya vyumba vitano ya tofari, shamba lipo Visiga maili 35, lipo mita 400 kutoka barabara ya Morogoro, bei milioni mia moja na hamsini, shamba linauzwa lote si nusunusu, kuhusu suala la bei linazungumzika, nitafute kwa 0717 000 990/ 0764 434 673/ 0689 232 523 au majutongozi@gmail.com