Natafuta nyumba ya Kupanga

Natafuta nyumba ya Kupanga

dlazari

Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
74
Reaction score
30
Wakuu, natafuta Nyumba ya kupanga . Iwe na Master 1 na room 1 kawaida, iwe na choo,bafu,jiko na sebule pia iwe ndani ya fens. Hata kama ni shared fens. Maji yasiwe ya shida, imwe wilaya ya Kinondoni( kini,mwananyamala,sinza,mcty,makongo,mbezi,survey au kawe).

Kama kuna mtu anaweza nisaidia just inbox me au txt 0714880007
 
Kumbe JF kuna madalali? Well sikujua ila nakushauri tangazo lako peleka jukwaa la matangazo naamini utapata msaada ila Uwe makini c kila mtu humu ndani ni GT
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom