galaxy GT-B5510 inauzwa dar.150,000

galaxy GT-B5510 inauzwa dar.150,000

Umbly

Senior Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
118
Reaction score
2
simu Used ila bado mpya ya 2012. touch screen plus keypad na ina vitu vyote vya kijanja.call: 0656063933 or PM
nipo dar es salaam.
 
simu bado mpya touch screen na ina vitu vyote vya kijanja.call: 0656063933 or PM

'haya ndugu wee ngoja waje tu wadau...............watakuliza mbona hujaweka picha,ya mwaka gani,we upo mkoa gani,sehem gani,mpya kabisa kwenye box au imetumika,na kama imetumika ni mda gani,na mwisho watakwambia kula 50,000 cash mkuu,ngoja waje ndugu mi nimepita tu'
 
'haya ndugu wee ngoja waje tu wadau...............watakuliza mbona hujaweka picha,ya mwaka gani,we upo mkoa gani,sehem gani,mpya kabisa kwenye box au imetumika,na kama imetumika ni mda gani,na mwisho watakwambia kula 50,000 cash mkuu,ngoja waje ndugu mi nimepita tu'

akiwa na akili ataanza kujibu hayo kabla hatujarudia kuuliza
 
nmetoa namba ya simu call tuongee biashara mzigo bado upo.
 
Natafuta Samsung Galaxy tab 2 7" mpya kwa bei nzuri, kama kuna mtu anayo anijulishe.
 
'haya ndugu wee ngoja waje tu wadau...............watakuliza mbona hujaweka picha,ya mwaka gani,we upo mkoa gani,sehem gani,mpya kabisa kwenye box au imetumika,na kama imetumika ni mda gani,na mwisho watakwambia kula 50,000 cash mkuu,ngoja waje ndugu mi nimepita tu'
Hahaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom