Nyumba Inauzwa

Nyumba Inauzwa

DK The Farmer

Senior Member
Joined
May 27, 2013
Posts
104
Reaction score
17
Ni Nyumba ipo Sinza kwa Remi, mtaa kama wa3 kutoka barabarani,Sinza B
 
Ipo kwenye kota za sigara,for more details unaweza kuja iona
 
hujui biashara mkuu?yan kweli mtu atoke arusha aje aione nyumba ambayo hataipenda??utamrudishia nauli?
hebu kama unataka kufanya biashara elezea nyumba ikoje, like vyumba vingapi, iko kwenye eneo lenye ukubwa gani, kiwanja kina title deed nk, na pia bei yako...sio kuwaambia tu watu waje waone...!!
 
We kama unapasoma sinza kwnye kota za sigara utajua,ila ilikuwa club ya wafanyakaz wa TCC, bt bdae waka ipangisha, kiukweli haiko kisasa ila kuna watu wanaisha,co wamiliki ambao ni kikundi cha wazee wameazimia kuiuza,ima hati bt vipimo vya kiwanja cjavjua zaidi ngoja nikifka hapo ntawapa majibu wakuku, bt kikubwa sinza hata kama nyumba ni gofu watu wanachek thaman ya ardhi basi.
 
We kama unapasoma sinza kwnye kota za sigara utajua,ila ilikuwa club ya wafanyakaz wa TCC, bt bdae waka ipangisha, kiukweli haiko kisasa ila kuna watu wanaisha,co wamiliki ambao ni kikundi cha wazee wameazimia kuiuza,ima hati bt vipimo vya kiwanja cjavjua zaidi ngoja nikifka hapo ntawapa majibu wakuku, bt kikubwa sinza hata kama nyumba ni gofu watu wanachek thaman ya ardhi basi.

I say.....what kind of salesmanship is this?
 
Mi nimetoa information coz nilihudhuria kikao kwa niaba ya mzee wangu,so kwa wanunuaji its better ukafika eneo husika, coz mitandao inaharibu sana naweza tuma picha hapa ukaiona bonge la nyumba kumbe doh!
 
Mi nimetoa information coz nilihudhuria kikao kwa niaba ya mzee wangu,so kwa wanunuaji its better ukafika eneo husika, coz mitandao inaharibu sana naweza tuma picha hapa ukaiona bonge la nyumba kumbe doh!

hatujali nyumba ikoje, tunachojali ni ukubwa wa adhri/eneo nyumba ilipo, umiliki (kuepusha kesi zisizo na maana) na pia Bei ya hiyo nyumba. Hayo ndo mambo muhimu uliyopaswa kusema.
 
We kama unapasoma sinza kwnye kota za sigara utajua,ila ilikuwa club ya wafanyakaz wa TCC, bt bdae waka ipangisha, kiukweli haiko kisasa ila kuna watu wanaisha,co wamiliki ambao ni kikundi cha wazee wameazimia kuiuza,ima hati bt vipimo vya kiwanja cjavjua zaidi ngoja nikifka hapo ntawapa majibu wakuku, bt kikubwa sinza hata kama nyumba ni gofu watu wanachek thaman ya ardhi basi.

Bei na picha mkuu
 
Kama kawaida yetu wabongo ubabaishaji kila kona...
 
Kama kawaida yetu wabongo ubabaishaji kila kona...

images
 
Maelewano hua yana pa kuanzia,
We unaanzia wapi?
 
Nyumba inauzwa ya bedroom nne mitaa ya Njiro container, Arusha. Mtaa wa nyuma ya stand ya container. Inahitaji matengenezo kiasi ila unaweza ishi.
bei ni 81M (81,000,000)


Kwa mawasiliano piga 0758 717754
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom