amina paggy
Member
- Jul 14, 2013
- 37
- 1
mercedes benz,ML 350,engine 3.7L,mileage 94,000,Year-2005,haijatembea hapa TZ,Bei ni maelewano,wasiliana nami 0657690970
Milioni 4 cash,halafu weka na picha
mil 4 ni nyingi mno lakini nadhani inafaa kununua pikipiki au bajaji
Hata gari lako hilo linafaa kuuzwa 4mil kwani lina nini cha maana? wewe kama ungekuwa unataka biashara ungeweka na bei.....mimi nakupa 4.5mil vipi inalipa?
mil 40 tu na pungufu unaongea.Weka picha na bei...
Unajua kuna watu humu huwa wanaleta utani kwenye kila kitu, sidhani kama huyo bwana hapo juu yuko siriasi na anachochangia. Sina haja ya kumtaja wala kum-quote anajijua mwenyewe.
Hiyo bei unawezakupata mjapani used wa mitaani lakini mdachi sahau maana unaweza ukapewa kwa hiyo bei yako pungufu, swali je filling station napo utakuwa unaomba bei pungufu? Kama ni wa moja usilazimishe kuvaa mbili utapasuka msamba.
mil 4 ni nyingi mno lakini nadhani inafaa kununua pikipiki au bajaji