Wandugu JF ,
Natafuta hiyo antivirus-NOD 32 Antivirus kwa ajili ya windows XP au windows 7 kwa haraka naweza kuipata wapi hapa DSM?
Naomba msaada.
Nawakilisha.
Rakey
Wakuu simu mpya iko kwenye box aina ya huawei asecend y210-0100 inauzwa ikiwa na vifaa vyake vyote
Sifa zake
Android 2.3.6
WCDMA/CAM
1Ghz CPU
1700 mAh battery
3.5 inch display with auto rotating...
Rangi ya dhahabu metallic, 2.4cc 4 cylinder ivtec engine, imetengenezwa 2003, ipo Tanzania kwa miaka 3 sasa, iliingia toka Singapore, imetembea 130,000km, inakaa watu 7 comfortably seated...
Toyota rav 4 L
Import from japan.
Haijatumika kabisa hapa bongo.
Km 136,000
Model 1997
Engine 3S
cc 1998
Bei million 14, ukiwa serious tuwasiliane 0756 600311,0782 335151
Kiwanja kinauzwa kwa bei rahisi, kipo kibaha kwa mathias near open university, kina ukubwa wa ekari 4 na kipo karibu na barabara.. bei 15 million, kwa anayehitaji tuwasiliane 0713 542400
Nyumba imefikia kwenye renter, ina vyumba 5 vya kulala, kimoja ni Master Bedroom. Ipo Chanika Msumbiji, kando ya barabara kuu ya daladala. Kiwanja kina ukumbwa wa 30 kwa 25.
Bei 30,000,000/=...
Wadau,
Shamba linauzwa Eneo la Kigamboni karibu na Dar es salaam Zoo.
Shamba hili lina ukubwa wa Heka 10,
Kigamboni ni eneo ambalo Wawekezaji wananunua mashamba na kuyapima viwanja kisha kuyauza...
:help: Naitaji Suzuki Swift na mwenzangu mmoja anaitaji Vits, zilizokwenye hali nzuri na info za service zilizofanyika itakuwa addition point. Bei ya kiujamaa nina budget ninayojua inatosha kabisa...
Habari wa JF,
Natafuta kiwanja kisichopungua ukubwa wa sqm 600 kati ya maeneo yafuatayo:
1.Salasala
2.Mbweni
3.Bunju
Kiwe kimepimwa na serikali na hakina mgogoro wowote.
Budget: 15M
Je kuna...
habari zenu wana jf wenzangu. Naitwa mgowela naishi morogoro. Nilimaliza advance diploma in accountancy pale t.i.a 2010. Nilikuwa na ajira ya muda kwa sasa kampuni imebadili shughuli hivyo...
Naandika post hii kutoa fursa kwa Mtu binafsi yeyote ambaye anapenda kuwa mshirika wetu katika biashara (business partner) katika kampuni yetu. Tunahitaji angalau mtu mmoja kila mkoa isipokuwa...
nataka kuchukua bidhaa za FOREVER na supply lakini nimepata darasa juu juu tu aliye na taarifa kamili naomba anijuze zaidi, namna ya kuwa mwanachama, kupata bidhaa namna ya kusambaza na masharti...
HABARINI WANA JF
Playstation 2 consoles zilizotengenezwa kutumia flash disk zinapatikana, baada ya kuwa zimewekewa chip kwenye system yake na kuweza ku boot games za iso bila kutumia CD za...
kama wewe ni mpenzi wa CHELSEA,MAN UTD AU ARSENAL nina DVD za SEASON REVIEW 2012/2013
DVD HIZI ZIMESHEHENI MAMBO YAFUATAYO
1. HIGHLIGHTS ZA GAME ZOTE ZA TEAM HUSIKA MSIMU MZIMA 2012/2013
2...
Nimenunua kiwanja hapa mbezi Goba, jamaa aliyeniuzia anauza pia viwanja viwili , kimoja ni 40 kwa 40 sh milioni 5, na kingine 30 kwa 35 millioni. 3. Kama kuna mtu anahitaji. Hakuna dalali hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.