Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habarini wakubwa, nauza Item: Apple iPad 2 16GB (3G + Wi-Fi) - Zipo tatu Accessories: USB Cable Price: TZS 550,000/= Call: 0655003510
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Wandugu JF , Natafuta hiyo antivirus-NOD 32 Antivirus kwa ajili ya windows XP au windows 7 kwa haraka naweza kuipata wapi hapa DSM? Naomba msaada. Nawakilisha. Rakey
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu simu mpya iko kwenye box aina ya huawei asecend y210-0100 inauzwa ikiwa na vifaa vyake vyote Sifa zake Android 2.3.6 WCDMA/CAM 1Ghz CPU 1700 mAh battery 3.5 inch display with auto rotating...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rangi ya dhahabu metallic, 2.4cc 4 cylinder ivtec engine, imetengenezwa 2003, ipo Tanzania kwa miaka 3 sasa, iliingia toka Singapore, imetembea 130,000km, inakaa watu 7 comfortably seated...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya chang'ombe maduka mawili karibu na kituo cha mafuta cha camel, kwa anayehitaji ani pm..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota rav 4 L Import from japan. Haijatumika kabisa hapa bongo. Km 136,000 Model 1997 Engine 3S cc 1998 Bei million 14, ukiwa serious tuwasiliane 0756 600311,0782 335151
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kwa bei rahisi, kipo kibaha kwa mathias near open university, kina ukubwa wa ekari 4 na kipo karibu na barabara.. bei 15 million, kwa anayehitaji tuwasiliane 0713 542400
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwalimu wa tuition kwa class 2 na 4 anatakiwa part time after working hrs. Kuanzia saa 10 home school.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nyumba imefikia kwenye renter, ina vyumba 5 vya kulala, kimoja ni Master Bedroom. Ipo Chanika Msumbiji, kando ya barabara kuu ya daladala. Kiwanja kina ukumbwa wa 30 kwa 25. Bei 30,000,000/=...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Wadau, Shamba linauzwa Eneo la Kigamboni karibu na Dar es salaam Zoo. Shamba hili lina ukubwa wa Heka 10, Kigamboni ni eneo ambalo Wawekezaji wananunua mashamba na kuyapima viwanja kisha kuyauza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
:help: Naitaji Suzuki Swift na mwenzangu mmoja anaitaji Vits, zilizokwenye hali nzuri na info za service zilizofanyika itakuwa addition point. Bei ya kiujamaa nina budget ninayojua inatosha kabisa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wakuu Habari za j2 naitaji iphone 5 used bajet yangu Ni laki tano mwenye nayo anipm
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wa JF, Natafuta kiwanja kisichopungua ukubwa wa sqm 600 kati ya maeneo yafuatayo: 1.Salasala 2.Mbweni 3.Bunju Kiwe kimepimwa na serikali na hakina mgogoro wowote. Budget: 15M Je kuna...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nauza simu tajwa hapo juu Bei ni laki mbili tu. Ni mpya na haijawahi kutumika Karibuni kwa atayehitaji
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari zenu wana jf wenzangu. Naitwa mgowela naishi morogoro. Nilimaliza advance diploma in accountancy pale t.i.a 2010. Nilikuwa na ajira ya muda kwa sasa kampuni imebadili shughuli hivyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naandika post hii kutoa fursa kwa Mtu binafsi yeyote ambaye anapenda kuwa mshirika wetu katika biashara (business partner) katika kampuni yetu. Tunahitaji angalau mtu mmoja kila mkoa isipokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nataka kuchukua bidhaa za FOREVER na supply lakini nimepata darasa juu juu tu aliye na taarifa kamili naomba anijuze zaidi, namna ya kuwa mwanachama, kupata bidhaa namna ya kusambaza na masharti...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
HABARINI WANA JF Playstation 2 consoles zilizotengenezwa kutumia flash disk zinapatikana, baada ya kuwa zimewekewa chip kwenye system yake na kuweza ku boot games za iso bila kutumia CD za...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
kama wewe ni mpenzi wa CHELSEA,MAN UTD AU ARSENAL nina DVD za SEASON REVIEW 2012/2013 DVD HIZI ZIMESHEHENI MAMBO YAFUATAYO 1. HIGHLIGHTS ZA GAME ZOTE ZA TEAM HUSIKA MSIMU MZIMA 2012/2013 2...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimenunua kiwanja hapa mbezi Goba, jamaa aliyeniuzia anauza pia viwanja viwili , kimoja ni 40 kwa 40 sh milioni 5, na kingine 30 kwa 35 millioni. 3. Kama kuna mtu anahitaji. Hakuna dalali hapo...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom