Viwanja vya madini handeni.

Viwanja vya madini handeni.

Alex777

Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
30
Reaction score
4
Salam wana- jamii. Kama kuna mtu yeyote kati yenu anajua/amesikia juu ya wawekezaji wa madini (Dhahabu) waliopo Handeni au wanaohitji maeneo ya dhahabu Handeni, tafadhari naomba ,mnijuze. Nina viwanja zaidi ya 19 Handeni vingi vikiwa kilindi na Komkonga na Kwadijava. Naombeni ushirikiano wenu katika hili. Ahsante.
 
Salam wana- jamii. Kama kuna mtu yeyote kati yenu anajua/amesikia juu ya wawekezaji wa madini (Dhahabu) waliopo Handeni au wanaohitji maeneo ya dhahabu Handeni, tafadhari naomba ,mnijuze. Nina viwanja zaidi ya 19 Handeni vingi vikiwa kilindi na Komkonga na Kwadijava. Naombeni ushirikiano wenu katika hili. Ahsante.
Sijakuelewa kaaaaabisa.
Sijui ni hili 'PILAU'nililokula mchana huu au lah.
 
Back
Top Bottom