Alex777
Member
- Aug 4, 2013
- 30
- 4
Salam wana- jamii. Kama kuna mtu yeyote kati yenu anajua/amesikia juu ya wawekezaji wa madini (Dhahabu) waliopo Handeni au wanaohitji maeneo ya dhahabu Handeni, tafadhari naomba ,mnijuze. Nina viwanja zaidi ya 19 Handeni vingi vikiwa kilindi na Komkonga na Kwadijava. Naombeni ushirikiano wenu katika hili. Ahsante.