Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habar wanajamvi simu hiyo hapo ni nokia lumia 620 inauzwa laki tatu na nusu haina tatizo lolote kama kweli unaihitaji piga simu 0713-626027 au ni sms.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau kwawale wenye kuitaji exteno (T)TRANSCEND GB 500 Inauzwa bei laka moja 100,000 ila mahelewano yapo ipo dar es salaam simu 0712690760
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Iwe eneo la Bunju, Boko au mbweni. Iwe imejengwa katika kiwanja chenye hati miliki. Iwe walau ina vyumba vya kulala viwili au vitatu. Hata kama haijakamilika. Ukiwa nayo tuwasiliane kupitia namba...
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Wakuu ninauza Kiwanja chenye ukubwa wa heka moja kwa sh. mil 3.8 tu. Kiko Kongowe mwisho Mbagala Km 3 kutoka Barabara ya lami na gari linafika mpaka kwenye kiwanja. Tafadhali mwenye kuhitaji ani PM.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza hiyo simu,ni mpya. Ina WhatsApp. Bei 110000 nicheki 0752385949
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nahtaji bidhaa hiyo, mpya au used (isiwe na mikwaruzo).
1 Reactions
0 Replies
782 Views
Habari wakubwa, nauza 1. Item: Macbook Air (Unopened) Display: 13.3-inch (diagonal) LED-backlit glossy widescreen display with support for millions of colors Storage: 256GB flash...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
I am a graphic designer and am holding a company dealing with graphic design and for us we don't take graphic design as a work of design only but also we have found branding is a mother of graphic...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Location(s) : Mbezi Beach or Mikocheni Property Type: House Dear Sir/Madam, One of my client who is serious on buying a luxury house He is...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Tunatoa uduma ya clearing and forwarding kwa wakazi wa tanzania nzima.makao makuu yetu yapo dar es salaam mjini mtaa wa nkrumah..tuna bei nzuri na uzoefu wa hii biashara takribani miaka 15...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Tuna deal na uuzaji wa magari aina zote toka u.k..offisi zetu zipo dar es salaam,nkrumah street.na london,uk.. Unatoa oda ya gari uipendayo,then unatoa deposit tukuletea gari.gharama za...
0 Reactions
0 Replies
45K Views
Habari jf. Nahitaji kiwanja maeneo ya madale D'salaam. Bajeti yangu ni milioni 4.5. Mwenye kuwa nacho aseme kina ukubwa gani pia aweke mawasiliano yake. Sihitaji maeneo ya mabondeni na sihitaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Magari haya yafuatayo yanauzwa: 1) TOYOTA Nadia Year of manufacture: 2000 Year imported from Japan: October, 2009 Engine: 1990 L Seating capacity: 5 passengers Colour: White Mileage covered...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Iwe used na bei isiwe kubwa sana.
0 Reactions
0 Replies
822 Views
toyota surf 2l diesel engine type manual gear 4wd dar to chalinze lt 7 dar to arusha lt 45 vibali vyote inavyo haidaiwi inauzwa millioni 6 kwa mawasiliano piga namba 0714198500 0712419419​
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaji fundi wa kunifanyia wiring kwenye kanyumba kangu kapo salasala, kama wewe ni fundi wa umeme au kama unafahamu fundi mzuri wa umeme tafadhili niambie au niPM contanct zako/zake
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta tv monitor 22 /23 inches brands yoyote
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Mazda Rx8 2005 6 speed manual 230 BHP full leather red/black
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba viwili na mbele kuna fremu tatu za biashara zilizopo karibu na barabara, ni pazuri pa biashara. Ipo Kivule Dar es salaam nyuma ya jengo la aviation kwa mbele kilomita kadhaa tu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SECRETARY GENERAL (VOLUNTEER POST) Location: Dar-es-salaam Brief description The position of executive secretary consists of providing high-level administrative support by conducting...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…