AziGogolato
Member
- Jul 27, 2013
- 8
- 0
Habari jf.
Nahitaji kiwanja maeneo ya madale D'salaam. Bajeti yangu ni milioni 4.5. Mwenye kuwa nacho aseme kina ukubwa gani pia aweke mawasiliano yake. Sihitaji maeneo ya mabondeni na sihitaji kiwanja chenye mgogoro wa aina yeyote.
Sehemu zingine pia naweza kununua kama si mbali sana na mji na kuna huduma zote karibu.
Nawasilisha.
Nahitaji kiwanja maeneo ya madale D'salaam. Bajeti yangu ni milioni 4.5. Mwenye kuwa nacho aseme kina ukubwa gani pia aweke mawasiliano yake. Sihitaji maeneo ya mabondeni na sihitaji kiwanja chenye mgogoro wa aina yeyote.
Sehemu zingine pia naweza kununua kama si mbali sana na mji na kuna huduma zote karibu.
Nawasilisha.