Exteno inauzwa bei nafuhu sana

Exteno inauzwa bei nafuhu sana

zebanga watelanga

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
862
Reaction score
398
Wadau kwawale wenye kuitaji exteno (T)TRANSCEND GB 500 Inauzwa bei laka moja 100,000 ila mahelewano yapo ipo dar es salaam simu 0712690760
 
Ni nini hicho mkuu? Samahani mkuu naomba unieleweshe naweza kukihitaji mkuu,asante sana
 
Ni nini hicho mkuu? Samahani mkuu naomba unieleweshe naweza kukihitaji mkuu,asante sana

BACKUP AU EXTENO mara nyingi watu wanatumia kuwekea vitu mbalimbali kupia computer just in case kama computer uwezo wake wakuifazi mdogo au kuhofia kupotea kwakazi zao mbalimbali nazani nimekujibu kiongozi
 
Bei yako iko juu sana last week nimeinunua kwa 95,000 pale discount shop mpya.
 
kwawalio helewa asante nandio mana nimeuza kwa wanao jua ni exteno ubungo naomba waende hapo ntawakuta hapo safara njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom