Heshima kwenu wanajamvi,Kuna jamaa yangu ana chaser gx100 vvti 2001 model silver anataka kubadilishana na verossa na yupo teyari kuongeza top up ya mpaka 5m to 5.5m kutegemeana na condition ya...
nyumba ipo dar kivule karibu na shule ya kivule ina nyumba viwili na ina vyumba vitatu vya biashara yaani frem zilizopo bararani ina uwnja wa kutosha kujenga tena bei ni mill 15(maelewano) eneo...
Wadau,kuna mtu anamfahamu fundi yoyote mzuri wa kuweza kutengeneza Bajaj aina ya TVS mana nna Bajaj ambayo nlinunua kwa mtu na kila siku ni majanga,mana mara leo Brek,kesho plug na kesho kutwa...
Wadau,nataka kununua hii gari,toyota ipsum ya kuanzia maisha,ila kabla ya mchakato naomba kwa anayeifahamu vizuri,ulaji wake wa mafuta,spare parts upatikanaji wake,kwa ujumla, uzuri na ubaya...
Mashamba yanauzwa mkoani Morogoro maeneo ya Msowelo katika wilaya ya Kilosa!jumla ya heka ziko 60 na bei kwa heka ni Tsh 310,000/= (laki tatu na kumi) ,maelewano yapo pia!yanafaa kwa kilimo cha...
Ipo kwenyekiwanja cha mita 20 kwa 30.
Ina vyumba 3 vya kulala.
ina sebule,Dining room,Jiko,Choo ch ndani na Choo cha nje nabafu.
Bado kuezekwa na finishing zingine.
umeme upo karibu
IPO KITUNDA...
nyumba ipo dar kivule karibu na shule ya kivule ina nyumba viwili na ina vyumba vitatu vya biashara yaani frem zilizopo bararani ina uwnja wa kutosha kujenga tena bei ni mill 15(maelewano) eneo ni...
VIKO GOBA MATOSA UKUBWA MITA 20*20 MILION 3, 25*20 MILION 3.5
VIKO KARIBU NA HUDUMA ZA KIJAMII WAHI VIKO VICHACHE.
kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.