salama humu ndani.!
wakuu nina m10,natafuta gari,je nitapata kwenye yard.!
isiwe inakula mafuta sana..
na iwe inafaa kwa safar ya kwenda mbeya japo mara moja kwa mwezi..
natanguliza shukrani..
NI ENEO LA KIBAHA KUPITA KIBAHA MJINI SEHEMU INAITWA VISIGA, NI KILOMETA NNE KUTOKA MOROGORO ROAD KUINGIA SEHEMU HIYO YA VISIGA KUINGIA SHAMBA NA BARABARA HIYO INATOKEA BAGAMOYO NA TEGETA, KUNAFAA...
wakuu mwenye kuhitaji line ya mpesa na tigo pesa kwa ajili ya biashara awasiliane kwa no 0719004668(tuma msg au piga). laini zina document zote na zipo zinafanya kazi. Lengo la kuuza ni hitaji...
Habari zenu
Ninauza gari aina ya JEEP GRAND CHEROKEE
6 cylinder Full leather seat 3900cc automatic diesel engine good fuel consumption
BEI NI TSH 20,000,000
Napangisha frame ipo kariakoo, mtaa wa kariakoo na
sikukuu. Ni kubwa na mpya. Ni centre ya biashara, kwa
mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0783181838
Nauza Solar System ya Watts 60 Kwa bei ya kutupa kabisa sh400,000
Nimeitumia miezi sita tu, na kuiondoa nikafunga system kubwa zaidi.
Naiuza kwasababu imekaa tu nyumbani sina kazi nayo.
System hii...
iPad inakuja na charger yake na usb cable.
used kutoka nje lakini haina scratch hata moja kwenye kioo au nyuma.
bei ni Tshs 480,000/= tu
tuwasiliane kwa 0655003510
Shamba lina ukubwa wa eka 20, lina kisima cha maji (hayakauki muda wote), nyumba ya kukaa, liko morogoro msowero,ni sehemu nzuri kwa kufuga nyuki, bwawa ya samaki, kilimo n.k bei ni milioni kumi...
WAKUU SIMU TAJWA HAPO JUU INAUZWA
HUAWEI ASCEND Y200
3.5 Inch HVGA full touch screen
Android 2.3.6
3.2 MP camera
Web Browser
High speed HSDPA network
WIFI 802.11 b/g/n
USB 2.0 High Speed...
hello habari.
i would like to have an email for our small business company. i eould like to have an official email for this business instead of gmail or yahoo. we neeed something like...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.