Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

lipo pugu kajiungeni lina hati na ramani pamoja na nyumba ya kisasa yenye umeme na maji.bei ni 900m.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
HP DR 56 (NOT NEW-USED LAPTOP) RAM: 2GB PROCESSOR: 2.2GHz Dual Core HARDDISK: 250 GB PRICE: 400,000Tshs Phone: 0764-66-46-52 Location: Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Mwalimu mzuri wa lufundisha kingereza anahitajika. Atakuwa anakuja ofisini Sinza kuanzia saa nane mchana mpaka saa kumi jioni jumatatu hadi ijumaa . mawasiliano 0659 556965
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi! SanLG inauzwa Gongo la mboto. ipo katika condition nzuri, imetumika miezi nane tu. bei ni sh. mil 1 na laki 2. picha yake ipo chini hapo. kama utakua interested niPM tupeane...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Wakuu nyumba inauzwa ipo arusha maeneo ya moshono ipo kwenye kiwanja cha 32 kwa 25 ipo kwenye hatua ya lenta na kozi mbili za juu ntajaribu kuattach na picha kwa mawasiliano ni pm nikupatie namba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TECNO T736 inauzwa bei poa sana kati ya tsh 60,000-50,000 na inauwezo mkumbwa na inatumiaya internet bila shida na inawiki kama Mbili tu anayeitaji apige cm 0768151073 niko Igunga mjini.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nakodisha hii camera aina ya Canon 500D ama nauza kwa kusaidia watu kwa kulipa polepole kila mwezi kidogo kidogo,ila jaman,wabongo ndio hivyo kwa utapeli tumejaliwa,mimi nina nia nzuri tu hapa,mtu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana Jf, Napenda Kuwatangazia Kua Ofisi yetu iliyopo maeneo Ya Mwanjerwa Mkoani Mbeya Inapenda kukutaarifu kwamba Tunatoa Huduma zifuatazo kwa gharama nafuu sana, HUDUMA TUTOAZO Tunafanya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau habari zenu! Kama kuna dalali au mdau yeyote humu ana nyumba anaipangisha au anafahamu nyumba inayopangishwa maeneo ya ubungo...please mnijulishe. Nahitaji nyumba yenye vyumba viwili vya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
New Galaxy note 8...GT N5100 released in april 2013!!! Specifications Quad core processor Exynos chip..at 1600Mhz (1.6ghz × 4) Ram 2GB Memory 16 gb on board (expandable to 64gb) Support GSM...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ni samsung ya kichina ila inauwezo wa maana tu na iko bei poa xana 40,000-30,000 tsh bado iko poa inacku tano tangu inunuliwe npo KAHAMA mjini maeneo ya farntom. kama vp for more ncheck 0753344557...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji hiyo kitu used haraka, im a technician,aliye serious for sale PM me au sms 0757032976.
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Nahitaji toyota premio ya 2006 au baada ya hapo.... Iwe ya rangi kati ya grey, nyeusi au blue mawasiliano; 0786305664 0717543373
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa ni hekari moja kipo njia panda ya Moshi-Arusha, karibu na mji mdogo wa Himo. Kinapakana na barabara kuu ya Dar - moshi. Kiwanja kimepimwa, kinafaa kuweka petrol station, kujenga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nataka nimnunulie vitz demu wangu isizidi milion tano iwe kwenye hali nzuri plz.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Baa inapangishwa iko maeneo ya mbezi luis,mawasiliano 0772 28 47 48.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji line ya TIGO-PESA. Kwa hiyo mtu yeyote mwenye line ya TIGO-PESA naomba awasiliane na mimi kupitia PM (PRIVATE MESSAGE), na kama itapatikana nahitaji kufahamu bei yake.
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Hii ni laki 2 na 50 tu bei haipungui, ni nzima na haijawai kufunguliwa kabisa na fundi. Nimeshindwa kuweka picture. Ila ncheki WhatsApp ntakutumia kama unahitaji.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii ni laki 2 na 50 tu bei haipungui, ni nzima na haijawai kufunguliwa kabisa na fundi. Nimeshindwa kuweka picture
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Viwanja Madale vinauzwa ukubwa ni 35 kwa 30 bei 10m mazingumzo yapo, ni kabla na maeneo ya kwa Kawawa. mawasiliano 0773 944 944
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…