Mwalimu mzuri wa lufundisha kingereza anahitajika. Atakuwa anakuja ofisini Sinza kuanzia saa nane mchana mpaka saa kumi jioni jumatatu hadi ijumaa . mawasiliano 0659 556965
Habarini wanajamvi! SanLG inauzwa Gongo la mboto. ipo katika condition nzuri, imetumika miezi nane tu. bei ni sh. mil 1 na laki 2. picha yake ipo chini hapo.
kama utakua interested niPM tupeane...
Wakuu nyumba inauzwa ipo arusha maeneo ya moshono ipo kwenye kiwanja cha 32 kwa 25 ipo kwenye hatua ya lenta na kozi mbili za juu ntajaribu kuattach na picha kwa mawasiliano ni pm nikupatie namba...
TECNO T736 inauzwa bei poa sana kati ya tsh 60,000-50,000 na inauwezo mkumbwa na inatumiaya internet bila shida na inawiki kama Mbili tu anayeitaji apige cm 0768151073 niko Igunga mjini.
Nakodisha hii camera aina ya Canon 500D ama nauza kwa kusaidia watu kwa kulipa polepole kila mwezi kidogo kidogo,ila jaman,wabongo ndio hivyo kwa utapeli tumejaliwa,mimi nina nia nzuri tu hapa,mtu...
Habari wana Jf, Napenda Kuwatangazia Kua Ofisi yetu iliyopo maeneo Ya Mwanjerwa Mkoani Mbeya
Inapenda kukutaarifu kwamba Tunatoa Huduma zifuatazo kwa gharama nafuu sana,
HUDUMA TUTOAZO
Tunafanya...
Wadau habari zenu!
Kama kuna dalali au mdau yeyote humu ana nyumba anaipangisha au anafahamu nyumba inayopangishwa maeneo ya ubungo...please mnijulishe. Nahitaji nyumba yenye vyumba viwili vya...
New Galaxy note 8...GT N5100 released in april 2013!!!
Specifications
Quad core processor Exynos chip..at 1600Mhz (1.6ghz × 4)
Ram 2GB
Memory 16 gb on board (expandable to 64gb)
Support GSM...
ni samsung ya kichina ila inauwezo wa maana tu na iko bei poa xana 40,000-30,000 tsh bado iko poa inacku tano tangu inunuliwe npo KAHAMA mjini maeneo ya farntom. kama vp for more ncheck 0753344557...
Kiwanja kinauzwa ni hekari moja kipo njia panda ya Moshi-Arusha, karibu na mji mdogo wa Himo. Kinapakana na barabara kuu ya Dar - moshi. Kiwanja kimepimwa, kinafaa kuweka petrol station, kujenga...
Nahitaji line ya TIGO-PESA. Kwa hiyo mtu yeyote mwenye line ya TIGO-PESA naomba awasiliane na mimi kupitia PM (PRIVATE MESSAGE), na kama itapatikana nahitaji kufahamu bei yake.
Hii ni laki 2 na 50 tu bei haipungui, ni nzima na haijawai kufunguliwa kabisa na fundi.
Nimeshindwa kuweka picture. Ila ncheki WhatsApp ntakutumia kama unahitaji.