shamba hekta 9 linauzwa

shamba hekta 9 linauzwa

zilakina

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
293
Reaction score
77
lipo pugu kajiungeni lina hati na ramani pamoja na nyumba ya kisasa yenye umeme na maji.bei ni 900m.
 
Milioni 9 au 900? yaani eka moja milioni 100? huu ni zaidi ya ufisadi. Mimi nina eka mbili Ukonga so nina mali ya zaidi ya 200M?
 
Hekta 9 ni sawa na 2.5*9=ekari 22.5.
Kwa hiyo unauza eneo lenye ekari 22.5
kwa haraka haraka KIU lina eneo kama ekari 100 na walinunua kwa approx 1 bill ambapo unapata 10mill kwa ekari moja.
Sijui market price ya pugu kajiungeni but nimesimplify zaidi


lipo pugu kajiungeni lina hati na ramani pamoja na nyumba ya kisasa yenye umeme na maji.bei ni 900m.
 
Million 900 du hatari

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Milioni 9 au 900? yaani eka moja milioni 100? huu ni zaidi ya ufisadi. Mimi nina eka mbili Ukonga so nina mali ya zaidi ya 200M?
sijakuelewa unauza au?unamkosoa.sema bac ulilinunua au unauza bei gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom