Kiwanja kinauzwa ni hekari moja kipo njia panda ya Moshi-Arusha, karibu na mji mdogo wa Himo. Kinapakana na barabara kuu ya Dar - moshi. Kiwanja kimepimwa, kinafaa kuweka petrol station, kujenga shule, hospital.nk. Bei mil 13. Kama unahitaji ni P.M au nipigie kwenye 0754466824 mapema.Nawatakia shughuli njema.