Kiwanja kipo eneo la bugogwa,jirani na barabara ya wilaya ya ilemela inayowekwa lami kutoka makao makuu ya wilaya kuelekea igombe inayotengenezwa.
Hakijapimwa bado,
Lina ukubwa wa 70 kwa 50
bei...
Wadau kama heading inavyojieleza nahitaji kukodi Camera mojawapo ya hizo kwa siku 4 au 5, najua security ya Camera ni muhimu hivyo niko tayari kumtumia Cameraman wako cha msingi awe na uzoefu...
Ni Solar system nyepesi na yenye ubora tofauti na unazo zifahamu, ina kaa na chaji kwa masaa 8 baada ya kujaa na unao uwezo wakuichaji na umeme wa kawaida kama ukipenda.
Tunakupa warantii ya mwaka...
habari! Ninauza Mtungi wa gesi kg 30.5 no#9 nipo Magomeni na ninaweweza kukuletea ulipo bei maelewano unafaa kwa matumizi ya nyumbani, Gheto na hotelini mawasiliano 0658825141 0767279713 badilika...
Wakuu habari zenu!!
Nauza simu aina ya samsung galaxy s3 original nyeusi, nimeitumia miezi 7, haina mchubuko kokote mwenye kuitaji tuwasiliane inbox.
Sababu ya kuiuza; nimenunua s4 jana.
solar power ndogo zenye nyaya ndefu na bulb zake mbili zina uwezo wa kukaa na chaji kwa muda wa masaa kumi na mbili kwa mawasiliano 0654 996561 ,ramsef550@gmail.com
nyumba inapangishwa maeneo ya tabata posta kwa bei poa ni self dining,vyumba full tiles ni mpyaa na master full parking ipo ndan ya geti call me 0652740304.nyumba ipo near barabara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.