Monitor flat screen inahitajika

Monitor flat screen inahitajika

Naibili

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
1,878
Reaction score
1,061
wadau kichwa cha habari chajieleza, bei yangu haizidi elfu 30. nipo dar es salaam,
 
Hata mbovu hupati kwa bei hiyo

kuna mdau kanijia pm anayo tatizo yupo morogoro, hayo maneno ya kukatisha tamaa, nikikosa hapa dar ntagiza mtu anichukulie hiyo, ndivyo nlivyomjibu
 
kuna mdau kanijia pm anayo tatizo yupo morogoro, hayo maneno ya kukatisha tamaa, nikikosa hapa dar ntagiza mtu anichukulie hiyo, ndivyo nlivyomjibu

Naoga vumbi ukipata. Unachezewa akili na bado unajitapa
 
njo nikupe chogo mpya kwa bei hyo inch 17...ila flat kwa bei hyo hata mtu auze kwa shida bado hijatokea flat ninazo mpya za dell inch 23 unaweza tumia kama tv bei 190000tsh,wasiliana nami 0713388226
 
njo nikupe chogo mpya kwa bei hyo inch 17...ila flat kwa bei hyo hata mtu auze kwa shida bado hijatokea flat ninazo mpya za dell inch 23 unaweza tumia kama tv bei 190000tsh,wasiliana nami 0713388226

mkuu asante nikikosa kabisa nitakutafuta, asante
 
Back
Top Bottom