Specs ziko vipi?
Ipo mpyaaaa nauza 130 tu.
Huawei y300 ndani ya box nipeni bei ya kuuza.
Hakiamungu hilo jina lako ngoja wahaya waje. anyway ntaku pm kuu.
Ipo mpyaaaa nauza 130 tu.
naipataje n pmIpo mpyaaaa nauza 130 tu.
Imebaki Huwawei U8180 . Kama unahtaj sema bei ni 130