Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 113
Heavy duty photocopy machine Canon IR 2230. Bei yake ni Tsh. 1,400,000, punguzo litakuwepo. Ipo katika hali nzuri, ninaiuza kwasababu nahitaji kuanzisha biashara nyingine. Napatikana Dar. Karibu.
Heavy duty photocopy machine Canon IR 2230. Bei yake ni Tsh. 1,400,000, punguzo litakuwepo. Ipo katika hali nzuri, ninaiuza kwasababu nahitaji kuanzisha biashara nyingine. Napatikana Dar. Karibu.
Mkuu imetumika, nilinunua mtumba na nimeitumia kwa miezi 2. Kwa kuzingatia hayo, ndio maana bei nimeshusha. KaribuMpya au imetumika, kama imetumika umeitumia muda gani?