Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu salaam zenu... Natafuta yard au open plot ya kupangisha au hata kununua maeneo karibu na Bandari Dar es salaam ,,,kurasini,,,shimo la udongo ,,chan'gombe ,,temeke n.k. YENYE uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Wakuu salaam zenu... Natafuta yard au open plot ya kupangisha au hata kununua maeneo karibu na Bandari Dar es salaam ,,,kurasini,,,shimo la udongo ,,chan'gombe ,,temeke n.k. YENYE uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
eti huchukua mda gani gari likisafirishwa toka japan hadi dar?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Laptop ya Dell mpya na used pia yenye hizi specifications au zaidi:Ram 4gb processor iwe duo core ama zaid hdd iwe 500gb.
0 Reactions
0 Replies
808 Views
wakuu, kuna toyota duet inauzwa ya mwaka 2001, rangi wine red, eng capacity 980, inatumia petrol. Bei 5m mazungumzo yapo. If ur interested ni pm.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau JF, Nataka kutuma dola 100 za Marekani kwenye akaunti ya benki inayomilikiwa na Organization moja huko Uholanzi.Je ni benki gani inayotuma pesa kwa gharama nafuu zaidi..??? Naomba msaada...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale wenye samsung s3 note2.s4 na zinazofanana nazo kama simu yako imezimika nina uwezo wa kuziamsha kumbuka isiwe imepita kwa fundi kwa maelezo zaidi ni whatsapp au nipigie simu kwa namba...
1 Reactions
4 Replies
998 Views
wakuu naombeni msaada wenu ni wapi nita pata dox linalouza mikanda na viatu vya ngozi mkoani Arusha shukrani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji nyumba , ya vyumba viwili na seble moja, choo cha ndani, maji full, ipo maeneo ya forest, anitafute kwa no. 0764870830. ipo ktk hali nzuri na mazingira mazuri
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau naitaji pkpk tajwa hapo juu zisizidi miezi 6 au 7 bei elekezi laki 9 mpaka mill 1 nipo temeke dar es salaam simu 0712690760
0 Reactions
1 Replies
866 Views
jamani habarini za saa hizi naombeni niulizie bei ya radio hiyo niliyoitaja hap juu kwa anayeifahamu vizuri ahsanteni sana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lipo Kibengu - Mufindi -Iringa. Zipo Hekari 10, Miti aina ya Pines yenye umri wa miaka 5. Linauzwa Tsh Milioni 15. Bei inajumuisha ardhi pamoja na miti. Contact: 0687 022411
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ina hati 4 bedrooms / one master Store Studying room Dinning Public toilet Kitchen Bei mil.80 Iko Gongolamboto- Moshibar/ majohe 0787 655293
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Mashamba ya kupanda miti yanauzwa. Yapo Igeleke- Mufindi - Iringa. Zipo hekari 150, na ni Tsh 110,000/= kwa kila Hekari moja. Wahi fursa hii, itayokuwezesha maishani mwako...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niko arusha nahitaji simu moja wapo kati ya iphone 5 na iphone 5s iwe kwenye hali nzuri bei isizidi 1,200,000/= kwa mwenye yoyote ani tafute kwa izi namba 0767581885
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Habari za jpili,Nina simu nauza aina IDEOS inatumia line Moja Pekee(Tigo).Sija unlock mpaka sasa.bei 150,000/Nipo dar
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Ninaua rice cooker sonawashi inayoweza kupikia robo kilo ya mchele hadi kilo 6 inapika yenyewewe unaweka mchele maji na mafuta tu inapika akiivisha we unapakua tu ni elfu 60 pia nauzagenerator...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
4 sale blackberry z10 tshs.700,000 its in good condition only month used.for more information google it.no.0659626782
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Kuku Chotara majogoo na majike yanauzwa kwa sh. 15,000/= tu kila mmoja. Pia Mayai ya Kuku Chotara yanauzwa kwa sh. 12,000/= kwa trei. Mwenye kuhitaji ani PM
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HABARI WANA JF. Naomba nijulishwe duka gani hapa DSM naweza kupata hivi vihonda vidogo ambavyo havina gear [automatic] kilichotumika nje ya nchi. pia mwenye ufahamu anijuze bei zake, nahitaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom