Nauza mahindi

Nauza mahindi

wakuu wa kazi ni mahindi ya kusaga ili kutengeneza unga wa kula si ya kuchoma ni mazuri na yanatoka singida,mazuri utayapenda ngejua upo wapi nge kupa bei kaka au ntumie sms 0765-654525
 
Mi mwenyewe npo mwanza kama unahitaji mahindi nambie tu fanye biashara..pia na mafuta ya alizeti kama una hitaji.
 
kwangu mimi hakuna umbali cha msingi ni kufanya biashara kila kitu kina wezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom