Parachichi kwa walioko Mby

Malila

JF-Expert Member
Dec 22, 2007
5,149
4,674
Kwa mlioko Mby hasa kipande cha Rungwe/Tukuyu. Kuna jamaa toka SA ana shamba kubwa la kufa mtu la parachichi. Mwanzo alivyoanza alitangaza kwamba atanunua kilo moja kwa tsh 2500/. Ukinunua miche toka kwake bei ni ndogo sana na inazaa baada ya 2.5yrs au mitatu na utamuuzia yy. Ukinunua kwake miche na ukawa huru kuuza kokote mche ni Tsh 3000/.

Ana-plan kujenga plant ndogo ya ku-process hayo Matunda mitaa ya kiwira. Haya jamaa zangu Banyambala mshindwe wenyewe. Nimeogopa kuiba picha za shamba lenyewe, maana alichoniitia sio hicho.
 
Kwa mlioko Mby hasa kipande cha Rungwe/Tukuyu. Kuna jamaa toka SA ana shamba kubwa la kufa mtu la parachichi. Mwanzo alivyoanza alitangaza kwamba atanunua kilo moja kwa tsh 2500/. Ukinunua miche toka kwake bei ni ndogo sana na inazaa baada ya 2.5yrs au mitatu na utamuuzia yy. Ukinunua kwake miche na ukawa huru kuuza kokote mche ni Tsh 3000/.

Ana-plan kujenga plant ndogo ya ku-process hayo Matunda mitaa ya kiwira. Haya jamaa zangu Banyambala mshindwe wenyewe. Nimeogopa kuiba picha za shamba lenyewe, maana alichoniitia sio hicho.

Asante mkuu kwa taarifa.
 
Asante kaka...kila kitu tunaweza baada ya kuwezeshwa. Huyo lazima atakuwa muwekezaji!!
 
nimeisha sikia habari zake huyu kaburu!! ndy tuamke watanzania. pamoja nchi yetu shida ni mitaji tuko wengi wenye plan km hzi ila kwa kupata mitaji ndy shida mabank yenyewe ukiritimba mtupu....
 
nimeisha sikia habari zake huyu kaburu!! ndy tuamke watanzania. pamoja nchi yetu shida ni mitaji tuko wengi wenye plan km hzi ila kwa kupata mitaji ndy shida mabank yenyewe ukiritimba mtupu....
Nilimtembelea juzi hapa, jamaa yuko mbali sana kiujumla. Nakaza mwendo kuiga.
 
Issue sio parachichi yeye analipwa kwa meter square na watu wa mazingira duniani kwa kupanda miti.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom