Kwa mlioko Mby hasa kipande cha Rungwe/Tukuyu. Kuna jamaa toka SA ana shamba kubwa la kufa mtu la parachichi. Mwanzo alivyoanza alitangaza kwamba atanunua kilo moja kwa tsh 2500/. Ukinunua miche toka kwake bei ni ndogo sana na inazaa baada ya 2.5yrs au mitatu na utamuuzia yy. Ukinunua kwake miche na ukawa huru kuuza kokote mche ni Tsh 3000/.
Ana-plan kujenga plant ndogo ya ku-process hayo Matunda mitaa ya kiwira. Haya jamaa zangu Banyambala mshindwe wenyewe. Nimeogopa kuiba picha za shamba lenyewe, maana alichoniitia sio hicho.
Ana-plan kujenga plant ndogo ya ku-process hayo Matunda mitaa ya kiwira. Haya jamaa zangu Banyambala mshindwe wenyewe. Nimeogopa kuiba picha za shamba lenyewe, maana alichoniitia sio hicho.