BARBER SHOP inauzwa bei chee kabisa.

BARBER SHOP inauzwa bei chee kabisa.

Fede Masolwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
529
Reaction score
123
habari wakuu, kitu hii inaendelea na kazi vizuri sana, mmiliki wake anaama dar kikazi so usimamiz ataweza akiwambali, ipo sehem changamfu sana bei kwa jumla milion 2.5 plus kodi ya miezi 8 mbele imelipiwa, ubungo mwenye kupenda ani PM kwa melezo zaidi.
 
habari wakuu, kitu hii inaendelea na kazi vizuri sana, mmiliki wake anaama dar kikazi so usimamiz ataweza akiwambali, ipo sehem changamfu sana bei kwa jumla milion 2.5 plus kodi ya miezi 8 mbele imelipiwa, ubungo mwenye kupenda ani PM kwa melezo zaidi.

Ubungo ipi? Hiyo saluni ina vifaa gani ndani? Unaweza kunirushia picha za ndani na nja?
 
habari wakuu, kitu hii inaendelea na kazi vizuri sana, mmiliki wake anaama dar kikazi so usimamiz ataweza akiwambali, ipo sehem changamfu sana bei kwa jumla milion 2.5 plus kodi ya miezi 8 mbele imelipiwa, ubungo mwenye kupenda ani PM kwa melezo zaidi.
weka hapa picha ya ndani na nje kama alivyoomba cyberteq..
 
weka hapa picha ya ndani na nje kama alivyoomba cyberteq..

nitaweka kesho nipo mbalinayo sasa. But ni barber shop ya standard ya kati kunyoa buku 2/3 n.k inauza kihasara tu ili mtu aondoke.
 
Tangazo limeandikwa na dalali asiye jitambua. Ubungo gan, ina vifaa gan, kiuhalisia vina thaman gan, picha zkowap, namba ya sim iko wap. Full of nonsense.
 
Tangazo limeandikwa na dalali asiye jitambua. Ubungo gan, ina vifaa gan, kiuhalisia vina thaman gan, picha zkowap, namba ya sim iko wap. Full of nonsense.

sio kila mtu akiweka tangazo ni dalali, unaitaji ni pm uwez acha. @ standard yake ni ya kati, ubungo urafiki.
 
Back
Top Bottom