Habari wadau.
Deki ipo Dar, faida nyingine ya deki hii ni kwamba inayo amplifaya ndani yake , kwa hiyo unaweza kutumia kama amplifaya na radio kwa wakati mmoja.
Bei : 130,000
Mawasiliano ...
nipo dar es salaam mwenye TV aina ya hisense nch 40 hadi 43 njoo chapu inbox sharti iwe yakwako. ofa yangu ni 300,000/= lakini inategemea na ubora wa TV yako.
kwa mawasiliano ya haraka piga simu...
Nauza Gari yangu Aina ya Jeep WRANGLER ya Mwaka 2018.
Registration T 127 CUA
Make: Jeep
Model: WRANGLER
Body type: Station Wagon
Colour: Green
Year: 2018
Fuel: Diesel
Price: 65,000,000/=
Habari zenu wadau, leo nawakaribisha na kuwaambia kwamba sisi kama African businesses tunatoa huduma ya kupamba na kupendezesha ofisi au makazi kwa kwa kutumia mapambo ya mbao na picha pamoja na...
Ni siku chache tu zimepita toka Stanley mug ilipotingisha America na Ulaya kwa maelfu ya watu kununua chupa hiyo kutokana video iliyotrend mtandaoni ya gari kupata ajali ya moto na hiyo stanley...
Ni muhimu kuwa na machine hii ya kupima pressure kwako na kwa familia yako..unaweza ukawachukulia hata wazazi wako itawasaidia sana.
Sifa zake: inakupa vipimo vya uhakika, Rahisi kutumia na ivo...
Habari ndugu zangu kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mm ni quantinty surveyor nimesomea chuo kikuu cha ardhi Dar es salaam hivyo bas napenda kutaarifu jamii kuwa nafanya kazi mabali...
Popote Tanzania tunakufukia kwa Gharama nafuu na Kazi za kiwango cha Karne 21 Kidigitali na Ubunifu wa Kiwango Juu.
Tunapatikana Mbeya.
Kwa Maelezo zaidi wasiliana nasi:
Calls/WhatsApp...
Natafuta vijana wa kuniuzia juice fresh za matunda za kutembeza kwenye madumu
-wa kike /kiume
-Dumu la lita 5 akimaliza tatu kwa siku
-Mshahara 150,000/=
-Nauli natoa ya kwenda anapotembeza.
Alie...
Unapopanga mipango yako ya safari basi mkoa wa Tanga usiache kuuweka kwenye orodha yako. Mkoa wa Tanga umejaaliwa kuwa na mandhari mazuri na yenye kuvutia watembezi wengi wanaotembelea eneo hilo...
Nyumba inauzwa milioni 45 ina vyumba vitatu kimoja master, choo cha public, jiko, store, dinning na sitting rooms,
Angalia video kuiona vizuri
Piga: 0683406665
Hp ni 130a Laser Jet Mpya 450,000 Full Catrage
Epson ni L3110 Full na wino wake, imetumika kidogo nyumbani 350,000
Hiti Passport Printer 100,000
Bei zote TZS 700,000
Zipo Mwanza nauza maana...
Habari yenu wakuu, Katika harakati za kuendelea kujitafuta ndipo nimepata wazo la kuwaletea huu uzi ambao unaweza kuwasaidia watu wengi kujipatia bidhaa zitakazoweza kuwatatulia changamoto...
Habari wadau, nimefunga biashara yangu ya Stationery hivyo nauza wino zilizopo.
CE0505A - 05A Black kwa HP 2035 na HP 2055 Bei ni 180,000 kila moja zipo 3.
C-EXV 33 Black kwa Canon Image Runner...
Jamani kama mnavyojua nchi hii bei za vitu avitabiriki, kujiwekea akiba ni jambo la msingi sana, leo sukari inasumbua lakini kwa waliokua na akiba ya kutosha mambo ni shwari.
Haya hii hapa fursa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.