habar ndug wafugaj wenzang, polen na changamoto za maisha ya ufugaj, kama mada inavyojieleza hapo juu kwa wakazi wa handeni-tanga naomba kwa anaetoa huduma ya kutotoresha mayai aina zote bac...
MaDish Installers
Tunafunga mifumo ya ulinzi kwa kutumia:-
CCTV cameras
Electric fence
Alarm system
Intercom
Na mengineyo na wakati huu tuna punguzo maalum kwenye kufunga Electric fence kwa...
Habari zenu wakuu
Kiwanja kinauzwa kigamboni njia ya kwenda changani beach
Dege kituo kinachofuata
Kiwanja kimepimwa na kina hati
Huduma zote za kijamii zipo
Ukubwa wa kiwanja ni 587 Sqmt...
Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka.
kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba.
Ukubwa ni 45 kwa 35 metres.
Bei ni million 30 tu.
Umbali kutoka barabarani ni km 2...
Tunaamini Chakula Ndio Kitu Pekee Kinachoweza Kuifanya Shughuli Yako Iwe Bora Zaidi hasa pale Kinapoandaliwa vizuri Katika hali Ya Usafi Na Chakula Kuwa Na Ladha Nzuri Sana.
TUPIGIE SASA 0657 33...
WADAU,
NOAMBA USHAURI. NITAJI KULETA MIFUGO (MBUZI NA NGOMBE) KUTOKA KARAGWE (KAGERA) KUJA BUNJU DAR ES ALAAM, NAOMBA CONNECTIONS ZA USAFIRI AU WASAFIRISHISHAJI WANAUOWEZA KUNIFANYIA KAZI HII...
Ninauza kiwanja changu kipo Goba Kulangwa kina ukubwa wa mita 15 kwa mita 30.
Bei ni milioni 14
Nyaraka Serikali za mitaa.
Huduma zote za kijamii zipo
0762282526
Natafuta mtu mwenye connection ya wateja wa Viazi (Irish potato) aliyepo Dar es salaam. Nipo Njombe
Kwa aliye tayari call me [emoji116]
Tel: 0654629098
Utapata Miche ya Matunda ya Muda Mfupi kwa Bei Ile Ile Ya Tsh 2500 Tu.
Hii ndio Aina ya Miche Inayopatikana Kwenye Bustani Yetu Iliyopo Hapa SUA Morogoro.
1. Embe Aina 7
2. Parachichi Aina 3
3...
Wapendwa kimfaa mtu chake nauza heka zangu zote 3 zipo Bagamoyo karibu na plot ya Bakhresa. Ni mali yangu halali nauza kwa sababu nipo mbali.
Piga kwa maelezo zaidi 0715160365. Ni mali yangu...
Habari wana jamvi,
Samahani naomba kuuliza kama ninaweza kupata wauzaji wa tiles aina ya Twyford kwa eneo la Chanika kwa bei ya jumla.
Maana mimi ninaishi Msongola na kwenda Kariakoo barabara...
Jipatie movie zilizotafsiliwa kiswahili na zisizotafsiriwa kwa kiswahili kwa bei ya shilingi 250 kwa movie moja.
Movie tunakutumia kwa njia ya email
0756362924
0766016411[emoji616] [emoji616]...
Nahitaji nyumba ya kununua iwe imekamilika umeme na maji au banda la uwani ambalo lipo sehemu nzuri kwa biashara.
LOCATION:D Uga, Mwakidila, Mwahako, Mwang'ombe.
0766445858