Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa oda za cake zilizochambuka kisawasawa na radha murua Oda nasi tunapatikana tabata....karibuni sana
1 Reactions
8 Replies
594 Views
HUDUMA ZETU. 1. Tunafunga mfumo wa umeme majumbani na viwandani 2. Tunafanya maboresho na marekebisho ya mifumo ya umeme 3. Tunafunga Backups za Generator na Solar 4. Tunatoa ushauri na kusimamia...
1 Reactions
1 Replies
387 Views
Njoo nikuuzie Solar panel watt 200 pamoja na betri 120Ah ni bidhaa bora za mjerumani. Nipo Mwanza, bei 1, 600,000 Tuwasiliane 0717072172
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu Nina set ya vifaa vyote vya kuoshea magari vipo Tu home vimekaa Sasa kama mtu anataka nimkodishe then awe ananipa % flan kila siku aje DM tuyajenge Vifaa viko Dar
0 Reactions
1 Replies
607 Views
Habari wakuu, Nauza mizani used ni nzito haina kipengele ina mawe yote Imethibitishwa na wakala wa vipimo Tanzania Ipo wilaya ya Hai 110k tu 0718569091
0 Reactions
1 Replies
676 Views
Aina: Redmi note 10 pro Bei: laki nne Mahali:Arusha RAM: 8GB ROM:128 GB
1 Reactions
4 Replies
703 Views
Habari Wanajamvi! Wacha niende Moja kwa Moja kwenye Maada yangu. Nina shida ya kifedha, hivyo nalazimika kuuza friji yangu aina ya frigo. Glass(650Ltrs)nimeitumia miezi mitano tu, kwamaana...
0 Reactions
2 Replies
546 Views
Tsh 60,000/= Tu Contact: 0755883248 Mkoa: Dar es Salaam Ukiwa mkoani nakutumia, ila gharama ni juu yako.
2 Reactions
12 Replies
723 Views
Nauza iphone 13 plain Used 2 months UK GB 128 Bh 100 Inakuja na boksi yake na original usb charge wire haijawhi tumika. 1,800,000ml Tsh Dsm location 0783985530
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Simu iphonex g64 battery health100..face ID inayo lisit yake ipo bei 350,000
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Wakuu habari. Store ndogo sqm 18 hadi sqm 25 inahitajika iwepo maeneo ya kariakoo, Magomeni au Keko kwa mwenye kuweza kufahamu au kuniconnect tafadhali nicheck inbox.
1 Reactions
6 Replies
619 Views
Huduma ya kusafirisha mizigo mikubwa na midogo kutoka Dar kwenda mikoa yote Tanzania ipo hapa. Tunatuma mizigo kwa njia ya ndege,bus na malori. Huduma zetu ni nafuuu. Kabisa na uhakina usalama...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hellow Guys! Mmeshindaje? Poleni na mahangaiko ya kila siku. Wadada nina mambo mazuri sana. As we know mwanamke ni pambo lazima liwake na kupendeza muda wowote ili liendelee kuvutia. Jamani nina...
10 Reactions
86 Replies
4K Views
Nawakilisha Dawa za binadamu na vifaa tiba
1 Reactions
15 Replies
9K Views
Nyumba inauzwa viwanja viwili ndani ya fence . Vyumba vya Kula 2 self Chumba Cha Kulala Cha nje 1 Sebule na dinnning Public toilet Fence Eneo 57*35 Location. Bendera tatu /BugandoHospital - Kona...
1 Reactions
3 Replies
583 Views
Simu ipo katika hali nzuri haisumbui choxhote Bei 150000 Ram2gb Storage gb32 Line 2 4g Fingerptint 5000 battery Clean camera 0627474141 Pugu dsm
0 Reactions
7 Replies
795 Views
Nahitaji mtu mwenye akili na msomi ambaye nataka awe mshauri mkubwa wangu kwa mambo mbali mbali ya maisha yangu Kama uko tayari ni text dm Tuongee mambo mengine Niko serious bro’s
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Hello sweethearts. Kama wewe Ni fundi ujenzi,au una idea na kujenga,Bei za vifaa,kiwanja etc..njoo tupige story ...Nina million tano hapa. Naplan kiwanja Cha 15/20 Halafu fundi anijengee Apo...
3 Reactions
61 Replies
2K Views
IPHONE 14 PRO MAX GB 256 [emoji736]BADO MPYAA IPO KWENYE CLEAN CONDITION BATTERY [emoji367] 100% FACE ID [emoji736] TRUE TONE [emoji736] [emoji3541]2,440,000 TU [emoji736]MUUZAJI NI MIMI...
7 Reactions
65 Replies
4K Views
Back
Top Bottom