Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wapendwa wanna JF popote mlipo Tanzania karibuni mjipatie miche mbali mbali kutoka mkoani Morogoro na tuna kusafilishia popote ulipo Tanzania miche ipo ya kila aina na iko ya muda mfupi na ya muda...
1 Reactions
13 Replies
857 Views
Skygo haina hata mwaka Full docments 1.8M 0718909429 Arusha, Morombo, Tanzania
0 Reactions
1 Replies
666 Views
Kuna machaguo mbali mbali ya Cctv Camera mfano HIK VISION,Dahua, nk ila Leo Ninakuletea chaguo jipya sokoni na hii ni "Ezviz" Yes "Ezviz" Wametoa Cctv Camera zisizohitaji waya Wala vifaa vya...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
𝔸ℚ𝕌𝕆𝕊 sᴇɴsᴇ 6 𝙿𝚛𝚒𝚌𝚎 : 250,000/= Condition: new 𝚂𝚝𝚘𝚛𝚊𝚐𝚎 : 64𝚐𝚋 0682440508
1 Reactions
2 Replies
731 Views
Dar es Salaam, Tanzania nauza min projector - 200,000/= (used) 200,000 TZS inatumia flash, memory card etc nauza min projector - 230,000/= (used) imetumika kidogo sana (2 manths) haitoa sauti ila...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza Pvc trunk used ziko za aina mbili 150mm×50mm dukani 18k mimi nauza 9000 na 50mm×50mm dukani 9000 mimi nauza 6000. ukitaka zote nauza kwa 6000 ziko 20. Karibu niko Dar 0744117116
0 Reactions
2 Replies
572 Views
1 Habarini, Kwa wale wafanyabiashara, wafanyakazi, wajasiriamali haswa mliokuwepo mkoani hata ambao mpo ndani ya dar es salaam ambao mlikuwa mnapata shida kuagiza kitu au bidhaa yeyote...
4 Reactions
5 Replies
660 Views
Habari zenu. tunapunguza asset ofisini kama zifuatazo: Asset hizo na bei zake kama ifuatavyo: 1.Pressure washer tzs 150,000 (laki moja na hamsini elfu) 2.Tube filler -mashine ya kujazia...
0 Reactions
7 Replies
843 Views
Kumekuwa na changamoto ya ushughulikiaji wa mambo mbalimbali ya kupata taarifa, ufatiliaji, na ujuaji wa bei ya bidhaa fulani kwa jiji lako pendwa la Mwanza Nipo kukusaidia kutatua changamoto...
1 Reactions
12 Replies
850 Views
Habari karibuni sana, nauza dagaa nyama niko Tanga mjini 7000 kwa kilo moja maongezi yapo. Karibuni 0718755347.
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Laptop Hp m42mobile thin client Processor AMD Pro R6,10computer Slim laptop [emoji736] nyembamba yakisasa core 4C Ram 8 Hard disk 500 Chaji 4hours Graphics card Gb1.5 Bei 430000 tu
0 Reactions
2 Replies
552 Views
Nauza toyota vitz new model kalii mnoo🔥🔥🔥ipo Dar es salaam cc 1290,push to start bei 9m✅Karibuni
0 Reactions
4 Replies
974 Views
Halmashauri ya manispaa ya Mtwara imetenga maeneo mengi kwa ajili ujenzi wa viwanda, hospitali za kisasa, vituo vya michezo, hoteli za nyota tatu, n.k. Maeneo hayo ni kama ifuatavyo: (a) Ujenzi...
1 Reactions
4 Replies
653 Views
Utateseka kuuziwa majiko ambayo hayadumu mpaka lini? Hamia Jiko Bomba Leo.... Sifa za majiko yetu 1. Yame tengenezwa kwa chuma kizito, ni imara na yana dumu sana... 2. Unaweza kutumia mkaa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Unahitaji kuongeza kipato chako chaguo sahihi ni kununua mashine za ice cream na chockstick Mashine za ice cream million mbili na laki sita inazalisha lita kumi kwa dakika 20 Mashine za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jamiii Tv Star X Size: inch 50 Feautures: smart 4k UHD Price: 750,000/= Simu: 0689 150 968 0625 557 395 Ipo Dar es Salaam Karibuni sana
0 Reactions
10 Replies
1K Views
SAMAHANI MIMI NI FUNDI SIMU NAHITAJI CONNECTION YA KAZI KANDA YA ZIWA MWENYE CONNECTION
0 Reactions
3 Replies
639 Views
Habari ndugu wana jukwaa, naomba kwa wazoefu wa Dodoma hasa maeneo ya Chidachi, Makulu, Mkonze na Kikuyu, mnisaidie natafuta nyumba ya kuishi, walau iwe na vyumba viwili na sebule, choo, jiko...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Nauza gari tajwa hapo juu. Gari bado ipo vizuri sana maana haijatumika muda mwingi ipo kama ilivyo ilivyotoka japani. Bei mil 24.8 maongezi kidogo yapo pia natoa laki5 kwa dalali atakayeleta...
0 Reactions
4 Replies
772 Views
Habari wakuu. Mwenye gari IST anaye uza tafadhari tuwasiliane.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom