Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hello bosses and roses... Nauza Apple iPhone XS Max Gold kwa 500k tu. Nimeitumia kwa miezi miwili tu, battery health ni 87%. Bado ni mpya kimwonekano hata kimatumizi. UPDATE. ======== SOLD
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wanaotaka viwanja dodoma, follow Widechance real estate: Tuna viwanja 1.Nala IFM(km 14 from city centre) Milion 2.5 - 5 kwa kiwanja kutegemeana na ukubwa wa sqm 500-1000 2.Nala karibu na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
VIWANJA VIPO UWANJA MPYA WA DODOMA - MSALATO UPANDE WA KITELELA, NA INAPOJENGWA BARABARA YA MZUNGUKO RING ROAD BEI KUANZIA 1,000,000 MPAKA MIL 2 UKUBWA NI KUANZIA SQM 500 HADI 1,600 MAWASILIANO...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Habari, Ninauza hizi tractor mbili. Zote ni 2WD. Mtumba kutoka Uholanzi bila jembe/trailer. MF135-46Horsepower MF158-63 Horsepower Zimesajiliwa na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa(Engine za...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za asubuhi, ninaomba kujua kuhusu vyombo vya mziki Zanzibar pamoja na gharama zake kwa wenyeji.
0 Reactions
0 Replies
364 Views
Salama Wakuu? Nina bati 13 za ALAF zimebaki baada ya kupaua naziuza, 11 ni za mita 3 na 2 ni za mita 3.3 nina kofia 1 na valley 1 zote ni charcoal grey na aina ya bati ni Versatile, zina kama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Natafuta shamba kubwa ambalo limeshawai kulimwa au tambarare ambalo litakuwa rahisi kulimwa kwa mikoa niliyo orodhesha hapo juu. Siitaji shamba ambalo lina miti maana kuondoa miti...
0 Reactions
1 Replies
679 Views
KILASILO GUEST HOUSE INAUZWA Specifications; 9 rooms self contained zote Fence eneo lote + gate 840m² eneo Kisima (120m) maji muda wote Dawasco pia maji yapo Kutoka barabara kuu ni 600M LOC...
1 Reactions
0 Replies
671 Views
Haina shida yoyote.. Nicheck whatsap 0654245367 au kawaida 0675721687. Gari ipo Toangoma kwa Kipara. Nipe 4.5 M
1 Reactions
4 Replies
739 Views
Habari zenu wapiganaji, nina kibali cha kuandaa Mkaa kutoka shambani kwangu gunia 700, mm naziuza kwa kila gunia shilingi 10,000 kutokea shambani. Gharama za usafirishaji ni juu yako pamoja na...
9 Reactions
26 Replies
4K Views
Wandugu habari ..Nina MAHINDI nayauza Niko na GUNIA 50, kila GUNIA nauza Tsh 80,000 hali imekuwa mbaya sana naomba wa kunisaidia kuyanunua Kwa harakaharaka, shamba Liko Tanga, Kwa maelezo zaidi na...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nauza Tank langu KIBOKO LITA ELFU 3. Bado jipya tangu ninunue Lina miezi 7 nahofia kuibiwa maana mlinzi WA site hatulii kazini nahofia hasara mara mbili Bora nipate hasara moja ya...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu msaada, Nimetokea Iringa huko nimezoea kuona majiko ya maranda lakini Mwanza natafuta siyaoni. Msaada tafadhali
0 Reactions
6 Replies
694 Views
Katika enzi hii inayoongozwa na maendeleo ya kiteknolojia, suala la usalama katika sekta ya kilimo na biashara zinazohusiana nalo limepewa umuhimu mkubwa. Kamera za CCTV zimekuwa zana muhimu si tu...
1 Reactions
4 Replies
727 Views
Kwa wanao itaji vyumba magomeni vinapatikana. Vinasifa hifuatayo. Chumba na sebule, chumba ni self container. Maji Massa 24/7, gipsum, ukubwa 12 ×12. Kwa mawasiliano nicheki. 0625511737.
0 Reactions
16 Replies
13K Views
Habari za muda huu wana Jamiiforums, nisiwachoshe mwenye min pocket wifi ya 4G inayoingia lain ya halotel au lain yoyote ile anicheki tuongee biashara namba 0621 074 991
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi.. Kwa mahitaji ya samaki wabichi kutoka maji baridi karibuni sana.. Tunauza kwa bei ya Jumla na rejarereja.. Kg 1 unapata kwa 11,000 na bei inapungua kadri utakavochukua kilo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Clean as new haina shida na mali halali Biashara inafanyika ofisini 180000 tsh
1 Reactions
2 Replies
411 Views
2,500,000 Hp 7 single Hp 10hp Kwa mawasiliano 0689 859167
1 Reactions
87 Replies
11K Views
Back
Top Bottom