Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu, kwa yeyote anayejua au anayeweza kunisaidia au atakayesikia, nyumba ya kupanga yenye chumba 1/2, sebule, + jiko maeneo yasiyo mabondeni Kijichi, plz anijulishe. nioi tayali kupokea...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Habari za asubuhi wakuu! Naomba msaada wenu, nataka kununua gari, na nimefanya mawasiliano na Beforward Co. LTD Japan kwa mtandao wao, na asubuhi hii nimekuta Pro forma Invoice kwa E-mail yangu...
1 Reactions
34 Replies
8K Views
chumba kimoja self kinapangishwa dar mitaa ya changanyikeni karibu na chuo kikuu cha ardhi. bei ni maelewano kwa maelezo zaidi wasiliana na 0784 226800
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajf, Rejea kichwa cha habari hapo juu,kuna chumba kimoja ambacho ni master,sebule na jiko vinapangishwa kwa bei ya tsh laki moja na elfu arobaini(140,000/=).Hipo tabata kimanga kituo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wakazi wa mtwara kuna kumputer zinauzwa kwa bei nafuu kabiza zikiwa na vitu vifuatavyo Nyimbo mbalimbali Videos za nyimbo mpya Movies mbalimbali Series pia kama ni mpenzi. Karibu tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
849 Views
For those who want to hide their ID through Whatsapp just contact us to get external number this number you could be able to use whatsapp& viber line and so on simply check us via 0655500066 calls...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
SPOTLESS CLEANERS COMPANY.. Inahusika na nini? Ni kampuni ya Kitanzania inayotoa huduma ya usafi katika sehemu zifuatazo: Usafi wa Ofisi zote Usafi katika maeneo ya Viwanda na Biashara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SATA 2.5 laptop hdd pia inaweza tumika kwenye desktop. Bei 65,000/= Contacts 0716683434 Dar.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari Wananchi Ninatafuta pikipiki/Tri-cycle ambayo inakuwa imefungwa bowser ndogo kwa nyuma kwa ajili ya kuuza maji.Je nitazipata wapi?Bei yake ni shilingi ngapi za kitanzania? Kwa mwenye...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta pikipiki aina ya boxa used ambayo haijachoka, iwe katika hali nzuri . Bajeti yangu ni sh 1000,000 mwenye nayo apost hapa hapa au PM.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A 2 storey house with 4 all en-suite bedroom and a master bedroom with spacious balcon and a jacuzzi. An open floor plan with a spacious kitchen and a dining room and living room. There is also a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hp Compaq Presario CQ56 Ram:2gb Hard disk:220gb 2.3ghz processor webcam,bluetooth,etc Price:tsh.280,000/= CALL:0689341445
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Wakuu, Chuo cha EMPOWER SCHOOL OF HEALTH kilichopo New Delhi, India kinatangaza nafasi kwa ajili ya kujiunga na kozi ya post graduate diploma in global health procurement and supply chain...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari, Nnaitaji macbook Air ya 11' 4 Gb Ram na 128 GB HDD Kwa bei nafuu
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Husika na kichwa cha uzi. iPad mini ipo sokoni ikiwa na sifa zifuatazo: i) Internal memory 16 GB ii) iOS 8 iii) Camera: front & back iv) Dark blue in colour v) Ipo ķatika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu... mm nina samsung galaxy s3 ya T-MOBILE amabyo ina sifa zifuatazo, 4G LTE 16 GB internal memory + expandable sd card 8MegaPixels Secondary camera 2Ghz Proccessor 2GB RAM...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Ukubwa: 600SqrM Umeme Upo. 20M kutoka Barabara Kubwa. Bei Milioni 9. Contact: 0683499369/0715350793
0 Reactions
0 Replies
975 Views
StarLink group kwa kutambua changamoto mbalimbali zinazozikumba shule mbalimbali hasa za Sekondari namna ya kutunza nyaraka mbalimbali za shule, zikiwemo; 1) Ripoti za Wanafunzi 2) Record za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
msaada bei ya pete yenye madini ya Tanzanite, mwenye utaalamu wa hizo pete, nahitaji kumnunulia bi harusi wangu mtarajiwa. Nahitaji mawazo please. Ahsanteni.
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Habari waungwana nauza simcard ya tgo pesa 250000 tu kama unahitaji njoo pm tuwasiliane
0 Reactions
1 Replies
854 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…