Looking for Pikipiki Bowser

Looking for Pikipiki Bowser

snochet

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
1,489
Reaction score
1,281
Habari Wananchi

Ninatafuta pikipiki/Tri-cycle ambayo inakuwa imefungwa bowser ndogo kwa nyuma kwa ajili ya kuuza maji.Je nitazipata wapi?Bei yake ni shilingi ngapi za kitanzania? Kwa mwenye taarifa yoyote kuhusu chombo hiki naomba anijuze.

Asanteni.

CC: Watu8 , MWANAKIjiji , Amavubi , Mamndenyi
 
Hizo pikipik ni bei kubwa nasikia mil 6 na nusu. Sijui duka mkuu
 
Ngoja nikuiitie anti yangu miss chagga anaweza toa msaada hapa,
sie huku shamba maji ni kwa kichwa tu.
 
Last edited by a moderator:
nunua pikipiki ya kawaida ya miguu mitatu, kisha peleka kwa mafundi welding wakutengenezee tank
 
200cc_tipper_tri_motorcycle.jpg
toa hiyo bodi weka tank
 
Asante TECHMAN kwa mawazo yako mazuri,mimi natafuta zile ambazo ziko ready made ikiwa na tank,nishaona kadhaa jijini dar,ni za bluu na zina tank jeupe nyuma.Hizo ndizo ninazotafuta.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom