Habari JF members.
Napenda kuwafahamisha wale wadau wa kuuza ardhi, kuwa linahitajika shamba/kiwanja chenye ukubwa wa 1000 acres liwe sehemu yoyote ndani ya wilaya ya bagamoyo, liwe na hati yake...
Kiwanja kipo mkoani Mtwara maeneo ya shamba la Chumvi mkabala na barabara kuu ya kwenda Dar es salam. Ukubwa Ni ekari 1, Kinafaa Kwa biashara hata makazi. Kwa mawasiliano zaid piga namba 0657180432.
Kiwanja ni kizuri hakina bonde.
Kiwanja hakipo square (Sambusa).
Kipo Bunju A (kituo usalama).
Barabara inafika hadi kwenye Kiwanja, huduma zote muhimu zipo karibu.
Bei Milioni 12.
#0752953860
Habari,
Kuna ploti inauzwa tengeru- Arusha, kilometa 10 toka Arisha mjini. Ukubwa hatua 30 kwa 17. bei milioni kumi na nane,(18million)
Huduma za maji, umeme, Barabara zinapatikana.
Kwa...
Type:026/12/solar(Lead Acid)26 Ah C20Maximum Voltage 13.8 min Voltage 10.8Max dendensity-1.2 50. Min density 1.2 25Filing Density-1.245@25°cMax Ch. Volt 14.4, FI. Volt 12.8 & Load...
4 newly built villas for rent at Mbezi Beach near White Sands Hotel. Each villa has 4 bedroom, 3 toilets and a specious kitchen and living room with ample parking space. For more details on the...
Salam wa jukwaa,
Kuna nyumba inauzwa, iko Kawe Ukwamani, ina vyumba vitano na sebule kubwa, choo cha ndani na jiko. Imejengwa kwa ubora mkubwa, imezungushiwa ukuta na iko sehemu inayofikika kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.