Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wewe ni mjasiriamali wa kutengeneza tovuti au blog? Umepanga kutengeneza kwa bei nafuu? Usijali, tunatoa vifurushi kwa ajili yenu kuanzia Tsh. 40000 kwa mwaka. Are you a Student or Web | Blog...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
CLONE SAMSUNG GALAXY GRAND DUOS its in great condition barely used Ipo katika hali nzur kabisa haina tatizo lolote High Perfomance And functionality Double line(inatumia line mbili) 5mp...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Samsung galaxy grand mpya inauzwa kwa bei ya shilingi laki tatu tu... No defects ...no shit... Kwa maelezo zaidi njoo Pm tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
2K Views
a new (bought 4 days ago) Tablet "Discovery by Target" is on sale. 180,000 Tshs only. Just PM your number for whatsup pics & negotiation. Spec: Brand: Target Color: Silver Operating System...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar wana jamvi...? Nauza simu tajwa hapo juu bei cheee kabisa.. Ni used kwa miezi kadhaa bt stil in gud condition..... Bei » laki moja na kumi tu! SIFA ZA SIMU ======== Internal...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ailiang speaker 30,000. Ipo Dar mwenge near mama ngoma hospital. Car speaker
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kina ukubwa wa sqm 3800, kipo tambalale kinafaa kwa shughuri kama makazi' ufugaji au yard! Kipo umbali wa 1.4km kutoka barabara kuu inayoenda geza. Upimaji wa awali umefanyika unaonesha ni eneo la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja kipo eneo la Cheka ni mwendo wa 25km toka Feri ya Magogoni. Kipo karibu na barabara kuu iendayo Kimbiji. Pia kipo maeneo jirani na hatel ya Changani beach. bei ni Tsh. 12m. kwa mahitaji...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wadau wanaopenda noah na waliokuwa wakiniuliza Noah unaleta lini Basi hiyo hapo ishaingia Dar kutokea Japan. Nauza Toyota Noah 2001 Color: Nyeupe KM: 103014 Location: Tabata Segerea Dar...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Anaehitaji smartphone tajwa hapo juu naiuza kwa bei ya 150000 tu haina tatizo lolote sababu ya kuuza ninamsomesha mdogo wangu wa primary sasa nahitaji niiuze ili iweze kumsaidia na ipo katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf. Nawatangazia uuzwaji wa viwanja vilivyopimwa kwa ajili ya makazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga kijiji cha Tengelea. Kijiji cha Tengelea kiko umbali wa kilomita 11 kutoka...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
unaweza kujishindia gari ma kupata nafasi ya kuchagua aina gani ya gari uzawadiwe bonyeza hapa kwa maelezo zaidi na ushinde...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunatangaza nafasi za Hosteli kwa wanafunzi wa Kampala University iliyoko Gongo la Mboto.Maelezo yote soma kwenye attachment Asante Rene picha imeongezwa
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari njema unashare na nduguzo. Gulio la carfromjapan wako kwenye kampeni kubwa, wameamua kutoa magari kadhaa kwa watu wenye bahati zao. Simply follow the link, apply...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Toyota Vitz inauzwa bei ni million 5. Plate number B...Ya1999. Ina km 148000. Cc990. Haijawahi kutoka Dar. Kila kitu kinafanya kazi. Haijangonga wala kupata ajali yeyote. Ukiwa serious ni check...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ps2 kamili zina power connections na wire za kuunganishia Tv ila hazina pad only for 100000 Tsh nichek hapa 0714547830 free deriverancy
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Offer rav 4 2002 new model kwa mil 6.5 ipo vizuri haina tatizo lolote kama upo serious na hii gari ni chek kwa hii namba 0716385824
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama una iphne 5s orignal imekufa ila kioo ni kizima tiwasiliane 0656 43 66 62
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Brand Name: HP elitebook 8440p Conditions: used but in good condishion Colour:Titanium silver WebcaM:2MP screen: 10.1 inches RAM: 4GB Processor speed: 2.56Ghz Intel core i5 Hard disk space...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
habari wadau. nyumba inapangishwa eneo la ubungo external. ina vyumba viwili vya kulala, sebule, dining, stoo, na jiko.. suitable for familia ndogo. ipo ndani ya fensi na ina gate...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom