Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Msaada tafadhali, Kwa mwenye nazo, au anaeweza fanikisha upatikanaji wa complete set kwa Dar es salaam au Mwanza.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wote mnakaribishwa, ni mzuri sana, bei nafuu (bei ya umma), Parking nje na ndani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, Nina Tsh. 320,000/= natafuta Smartphone nzuri iwe used au mpya lakini iwe kwenye hali nzuri bado. Brand: Huawei, Sony Experia, Samsung Galaxy..
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ninaomba kujua sehem au mtu anaefungua na kuuza nguo za mitumba kwa bei rahis hapa Dsm.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
yikeni. Ina vyumba 3, kimoja wapo ni master. Sebule; Dining;Stoo;jiko; maji yapo; kodi ni laki sita kwa mwezi: karibuni Mawasiliano 0718800909
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kipo wilaya ya Ilala Dar es salaam. ni 1km toka barabara kuu. kipo Pugu eneo linaitwa mbuyuni, hati ipo na bei kinauzwa 16m . ni tambalale kimenyooka. kwa mahitaji ya kiwanja hiki au vingine vingi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
1000 watts Hdmi port Usb port Bluetooth Contact :0713086602 Price: 470,000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwenye hiyo simu hapo anayeiuza anipatie namba yake tufanye biashara. Offer yangu ni 50 elfu cash
0 Reactions
0 Replies
768 Views
wana jf,nimeamua kujiajiri baada ya msoto kwa muda mrefu,ajira niliyoijoin ni kufanya biashara ya kokoto nyeusi,-(ngumu),bei cubic meTer 1 ni 90000 na 7tone ni 350000,niko dar,ofice iko machinga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa, ukubwa ni 57 kwa 50, kama unahitaji wasiliana kwa namba hizi kwa taarifa zaidi 0759908305/0716264007
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hallow!! natafta popcorn machne, ko ni sh ngapi.? kama unayo tuwasiliane, 0656025499..
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Wakuu, nahitaji mojawapo ya simu tajwa hapo juu. Bajeti yangu nimeweka hapo juu, nipo dsm. Nicheki ktk 0714-408238/ 0788-252045.
0 Reactions
1 Replies
872 Views
kama inavyojieleza nauza toyota brevis m.14,malipo unalipa m.7 nusu nyingine baada ya miez 2!nimepata matatizo gar ni mpya nimeisajil trh28 march!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nauza HTC 610 ni mpya na inakuja na kila kitu chake. Bei 470 namba yangu 0713 404014
0 Reactions
1 Replies
931 Views
nina maharage ya uyole 96 (hybrid), ni yale maharage mekundu. pia tuna mahindi zaidi ya tani 5000. mwenyewe soko la haya mazao naomba anijuze. shukrani wakuu
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Min laptop DELL inaitajika iwe na hhd kuanzia 500 iwe inakaa na charge kuanzia 3hrs ram 4gb burget yangu 250000 urgently
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Gari aina ya raum na passo zinauzwa zipo dar kwa maelezo zaidi na picha piga simu namba 0715607800. Simu yangu inasumbua kuattach picha
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari, Yeyote mwenye Bajaj ya bei chee TVs model ambayo inatembea na kuleta hesabu anicheki
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nauza bajaji yangu aina ya TVs no; T279 CRW inafanya kazi inapaki tegeta nyuki bei milioni nne (4,000,0000/=)
1 Reactions
5 Replies
2K Views
simu ya huawei y300 inauzwa laki na ishirini (120000) ni used line moja internal memory ni 4gb camera nzuri nipm kama unaitaka
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Back
Top Bottom