Natafuta Smartphone nzuri

Natafuta Smartphone nzuri

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
155
Habari zenu wadau,

Nina Tsh. 320,000/= natafuta Smartphone nzuri iwe used au mpya lakini iwe kwenye hali nzuri bado.

Brand: Huawei, Sony Experia, Samsung Galaxy..
 
nenda dukani utapata nzuri na warranty utapata
 
Kwanini hutaki ya dukani kuna kitu kinaitwa HTC.
 
Habari zenu wadau,


Nina Tsh. 320,000/= natafuta Smartphone nzuri iwe used n au mpya lakini iwe kwenye hali nzuri bado.

Brand: Huawei, Sony Experia, Samsung Galaxy..

nna s3 mkuu 270 tuu n pm kama inakubaliki
 
Smart phone siyo nzuri sana kwa usalama wa kazi/biashara yako labda kama huna serious rivals. Ni rahisi sana MTU kupata habari zako
 
Smart phone siyo nzuri sana kwa usalama wa kazi/biashara yako labda kama huna serious rivals. Ni rahisi sana MTU kupata habari zako

Hahaha marival wabongo machoko tuu kaka hawana jipya
 
Back
Top Bottom